C connections JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 2,806 Reaction score 3,860 Apr 30, 2025 #1 1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama.
1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama.
Detective J JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 29,145 Reaction score 51,818 Apr 30, 2025 #2 connections said: Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. Pia akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... Ilani na bendera ya chama havina mpact WHO. Even cabinet ya WHO/UN haina interest na siasa, kama unakubalika na una vigezo utachaguliwa full stop, hakuna kona kona mle
connections said: Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. Pia akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... Ilani na bendera ya chama havina mpact WHO. Even cabinet ya WHO/UN haina interest na siasa, kama unakubalika na una vigezo utachaguliwa full stop, hakuna kona kona mle
M mkulimamiwa JF-Expert Member Joined Mar 4, 2025 Posts 2,301 Reaction score 4,527 Apr 30, 2025 #3 Yule mwingine Marehemu Dk. Ndunguliele RIP yeye alitumia mbinu gani mpaka akashinda? Maana sikuona hata kampeni zozote mahala popote zaidi ya kusikia tu kashinda Huyu yeye analaana? kiasi cha kila mahali afukizwe uvumba na kampeni kila pahala? RIP JPM
Yule mwingine Marehemu Dk. Ndunguliele RIP yeye alitumia mbinu gani mpaka akashinda? Maana sikuona hata kampeni zozote mahala popote zaidi ya kusikia tu kashinda Huyu yeye analaana? kiasi cha kila mahali afukizwe uvumba na kampeni kila pahala? RIP JPM
BonventureSr JF-Expert Member Joined Nov 16, 2023 Posts 920 Reaction score 1,485 Apr 30, 2025 #4 Hamasa ipi itapatikana wakati wapiga kula hawapo bungeni Mmelizoea bunge hili vibaya sanaa
bandeko andeko JF-Expert Member Joined Oct 20, 2021 Posts 1,228 Reaction score 2,473 Apr 30, 2025 #5 connections said: 1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... dawa zako unatumia vizuri?
connections said: 1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... dawa zako unatumia vizuri?
BonventureSr JF-Expert Member Joined Nov 16, 2023 Posts 920 Reaction score 1,485 Apr 30, 2025 #6 mkulimamiwa said: Yule mwingine Marehemu Dk. Ndunguliele RIP yeye alitumia mbinu gani mpaka akashinda? Maana sikuona hata kampeni zozote mahala popote zaidi ya kusikia tu kashinda Huyu yeye analaana kiasi cha kila mahali afukizwe uvumba na kampeni kila pahala? Click to expand... Huyu kibaraka wa mama Hashindi hata kwa Dawa
mkulimamiwa said: Yule mwingine Marehemu Dk. Ndunguliele RIP yeye alitumia mbinu gani mpaka akashinda? Maana sikuona hata kampeni zozote mahala popote zaidi ya kusikia tu kashinda Huyu yeye analaana kiasi cha kila mahali afukizwe uvumba na kampeni kila pahala? Click to expand... Huyu kibaraka wa mama Hashindi hata kwa Dawa
Said Stuard Shily JF-Expert Member Joined Jul 18, 2017 Posts 2,457 Reaction score 2,191 Apr 30, 2025 #7 Prof anayechanganya Monosaccharides vs Disaccharides et awe Mkurugenzi wa WHO haya ni Ajabu toka Tanzania
Prof anayechanganya Monosaccharides vs Disaccharides et awe Mkurugenzi wa WHO haya ni Ajabu toka Tanzania
C connections JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 2,806 Reaction score 3,860 Apr 30, 2025 Thread starter #8 Mkurugenzi Mkuu
pmwasyoke Platinum Member Joined May 27, 2010 Posts 4,903 Reaction score 3,624 Apr 30, 2025 #9 connections said: 1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... Kumbe akishinda atakuwa mwakilishi wa CCM?
connections said: 1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... Kumbe akishinda atakuwa mwakilishi wa CCM?
M Mbinile Senior Member Joined Nov 2, 2008 Posts 112 Reaction score 166 Apr 30, 2025 #10 connections said: 1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... Yaani ndio mtamharibia kabisa
connections said: 1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... Yaani ndio mtamharibia kabisa
Tareek Azeez JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 13,046 Reaction score 32,685 Apr 30, 2025 #11 Mzoga Gang software corrupted n then Hardware zinahanja.
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 94,071 Reaction score 132,535 Apr 30, 2025 #12 Na hashindi ngooooo Ova
C connections JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 2,806 Reaction score 3,860 Apr 30, 2025 Thread starter #13 Pongezi nyingi
M Malaria 2 JF-Expert Member Joined Oct 17, 2023 Posts 8,547 Reaction score 12,800 Apr 30, 2025 #14 connections said: 1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... Bendera ya ccm apewe
connections said: 1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... Bendera ya ccm apewe
Tindo Platinum Member Joined Sep 28, 2011 Posts 69,593 Reaction score 123,090 Apr 30, 2025 #15 connections said: 1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... Kama sisi watanzania wengi hatuangalii hilo bunge kibogoyo, ndio itakuwa hao WHO? Hata hivyo WHO hawalichukulii serious bunge letu.
connections said: 1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. 2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama. Click to expand... Kama sisi watanzania wengi hatuangalii hilo bunge kibogoyo, ndio itakuwa hao WHO? Hata hivyo WHO hawalichukulii serious bunge letu.