HanangUnaweza kukumbuka kama ilikuwa Hanang, Kibo, Shengena au mawenzi?
HanangUnaweza kukumbuka kama ilikuwa Hanang, Kibo, Shengena au mawenzi?
Alipata chanjo tayari alishaathirika.Taarifa za awali zinaonyesha Prof massawe alikuwa amepata chanjo.
Mwl Beda ndo baba yao kina Dominic,John,Fikiri,Simon na wadada.Sorry Kwa kuchanganya. Unamaanisha Dr. Massawe alikuwa mdogo wake mwl. Beda na Manningi?
Sasa waziri mkuu kudanganya kuwa anachanjwa kuna ajabu gani?Kwani kwa mfano kwenye utawala wa Magufuli ambao ulikuwa unapinga chanjo mawaziri kufanya kitu kama hicho ingekuwa ni ajabu?
ASAS na Shivacom nako ni huzuni zimetanda, tetesi.Poleni, na wote waliofikwa na misiba Mungu awape subira.
Covid-19 inapukutisha, na haichagui wakumpiga.
OkKuwa kipanga yenyewe ni stress tosha, unauchosha mwili.....kama ilivyoandikwa 'akili nyingi huuchosha' mwili. Vilaza wengi ndo maana unakuta wamenenepeana maana akili haifanyi kazi yoyote ya maana zaidi ya ujinga ujinga......
Heshima yako senior.Nilipokuwa Moshi Sec. Form one,Dr. Massawe alikuwa form three.(1966)
Katika dormitory( tulikuwa boarding school),Massawe alikuwa kitanda cha pembeni yangu.
Naanza kuogopa kama Muhimblili wameshindwa kuokoa maisha yake basi tujiweke tayari na corona. Upumuaji itakuwa ni corona
JF..Heshima Kwayo...Huu msiba umegusa watu wengi sana. Pole kioekee kwako mkuu.
Lakini inabidi tuwaombe JF upewe cheo maalum. Distinguished. Ukute na yeye tulikua nae hapa jukwaani bila kujua.