Herman Henerico
Member
- Feb 13, 2013
- 22
- 8
Picha ya kwanza, Mh. Prof Anna Tibaijuka anakabidhi cheki ya Shs. 800,000 kwa mwenyekiti wa umoja wa wazee wa kata ya Bunju aliowaahidi siku ya wazee duniani alipokuwa mgeni wao rasmi
Picha ya pili, Prof. Tibaijuka akikabidhi kwa diwani wa Bunju Mh. Sharif Majisafi, vitabu 10 vya uthamini wa wananchi 3,990 watakao hamishwa kutoka eneo la Chasimba, mali ya kiwanda cha simenti Wazo Hill, kwenda Mabwepande.
Picha ya tatu, ni Viongozi kutoka mtaa wa Chasimba wakimsikiliza Mh. Prof. Tibaijuka kuhusu hatima ya mgogoro huo wa miaka mingi sasa unaelekea kutatuliwa.
Kazi inaendelea!!
Picha ya pili, Prof. Tibaijuka akikabidhi kwa diwani wa Bunju Mh. Sharif Majisafi, vitabu 10 vya uthamini wa wananchi 3,990 watakao hamishwa kutoka eneo la Chasimba, mali ya kiwanda cha simenti Wazo Hill, kwenda Mabwepande.
Picha ya tatu, ni Viongozi kutoka mtaa wa Chasimba wakimsikiliza Mh. Prof. Tibaijuka kuhusu hatima ya mgogoro huo wa miaka mingi sasa unaelekea kutatuliwa.
Kazi inaendelea!!