Prof. Safari: Magufuli shujaa wa Afrika

NGUMU SANA KUIPONGEZA CCM, LAKINI NI MBAYA SANA KUMPINGA MAGUFULI KWA HILI LA MADINI.
 
Kusema kizuri alichofanya mtu mwingine ni jambo zuri na pia kusema baya lake siyo dhambi.

Kuna watu wanataka kusifiwa tu lakini hawataki kukosolewa kwa lolote, hiyo nayo siyo tabia nzuri.
Ukipenda kusifiwa penda na kukosolewa pia
 
Back
Top Bottom