Asenga wa Pakaya
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 260
- 61
Pamoja na changamoto zote zinazomkabili waziri huyu katika wizara yake ama kwa hakika ukilinganisha na waliopita utaona kwamba anajitahidi sana katika madini kwa wachimbaji wadogo na umeme vijijini.
Sasa kijijini mtu akiuza kuku wake watatu tu anaweka umeme ipo haja ya kumpongeza waziri huyu,kila asemacho kina hoja na ushahidi,,tusihukumu kwa kuangalia na kusikia upande mmoja.
Nenda prof watanzania makini tupo nyuma yako.
Pamoja na changamoto zote zinazomkabili waziri huyu katika wizara yake ama kwa hakika ukilinganisha na waliopita utaona kwamba anajitahidi sana katika madini kwa wachimbaji wadogo na umeme vijijini.
Sasa kijijini mtu akiuza kuku wake watatu tu anaweka umeme ipo haja ya kumpongeza waziri huyu,kila asemacho kina hoja na ushahidi,,tusihukumu kwa kuangalia na kusikia upande mmoja.
Nenda prof watanzania makini tupo nyuma yako.
Prof anapigana vita nzito,lakini kama kweli watanzania tunahitaji kusonga mbele ni vyema Prof huyu akaungwa mkono,ameleta mabadiliko makubwa sana ktk upande wa umeme na kamwe asibezwe.
Prof anasema "TUFANYE KAZI KWA UADILIFU, BIDII, WELEDI, NA USHIRIKIANO BILA KUKATA TAMAA. DAIMA TUSONGE MBELE KURUDI NYUMA NI MWIKO!!"
Pamoja na changamoto zote zinazomkabili waziri huyu katika wizara yake ama kwa hakika ukilinganisha na waliopita utaona kwamba anajitahidi sana katika madini kwa wachimbaji wadogo na umeme vijijini.
Sasa kijijini mtu akiuza kuku wake watatu tu anaweka umeme ipo haja ya kumpongeza waziri huyu,kila asemacho kina hoja na ushahidi,,tusihukumu kwa kuangalia na kusikia upande mmoja.
Nenda prof watanzania makini tupo nyuma yako.
Pamoja na changamoto zote zinazomkabili waziri huyu katika wizara yake ama kwa hakika ukilinganisha na waliopita utaona kwamba anajitahidi sana katika madini kwa wachimbaji wadogo na umeme vijijini.
Sasa kijijini mtu akiuza kuku wake watatu tu anaweka umeme ipo haja ya kumpongeza waziri huyu,kila asemacho kina hoja na ushahidi,,tusihukumu kwa kuangalia na kusikia upande mmoja.
Nenda prof watanzania makini tupo nyuma yako.
Prof anapigana vita nzito,lakini kama kweli watanzania tunahitaji kusonga mbele ni vyema Prof huyu akaungwa mkono,ameleta mabadiliko makubwa sana ktk upande wa umeme na kamwe asibezwe.
Prof anasema "TUFANYE KAZI KWA UADILIFU, BIDII, WELEDI, NA USHIRIKIANO BILA KUKATA TAMAA. DAIMA TUSONGE MBELE KURUDI NYUMA NI MWIKO!!"
Mkuu nakubaliana na wewe asilimia zote. Huyu anapigwa na akina Silvio Berlasconi wa Bongo (Mengi) na vyombo vyao vya habari. Kwenye suala la gesi yupo sahihi kabisa. Watanzania tumiliki kupitia TPDC na sio mawakala matapeli ili wanufaike wao na familia zao. Wakishiba ndio wapeleke makombo pale Diamond Jubilee huku Tv zao zikiwafagilia sana. Yule wa Mtwara inatoka gesi anapata nini kwenye makombo ya Diamond Jubilee?
Pamoja na changamoto zote zinazomkabili waziri huyu katika wizara yake ama kwa hakika ukilinganisha na waliopita utaona kwamba anajitahidi sana katika madini kwa wachimbaji wadogo na umeme vijijini.
Sasa kijijini mtu akiuza kuku wake watatu tu anaweka umeme ipo haja ya kumpongeza waziri huyu,kila asemacho kina hoja na ushahidi,,tusihukumu kwa kuangalia na kusikia upande mmoja.
Nenda prof watanzania makini tupo nyuma yako.
Hakika wewe ni mtumwa, kuwadi wa wazungu kwa mgongo wa TPDC.
Pamoja na changamoto zote zinazomkabili waziri huyu katika wizara yake ama kwa hakika ukilinganisha na waliopita utaona kwamba anajitahidi sana katika madini kwa wachimbaji wadogo na umeme vijijini.
Sasa kijijini mtu akiuza kuku wake watatu tu anaweka umeme ipo haja ya kumpongeza waziri huyu,kila asemacho kina hoja na ushahidi,,tusihukumu kwa kuangalia na kusikia upande mmoja.
Nenda prof watanzania makini tupo nyuma yako.
Muhongo ni master of deception wajinga wajinga kama wewe hamuwezi kumshitukia.
Pamoja na changamoto zote zinazomkabili waziri huyu katika wizara yake ama kwa hakika ukilinganisha na waliopita utaona kwamba anajitahidi sana katika madini kwa wachimbaji wadogo na umeme vijijini.
Sasa kijijini mtu akiuza kuku wake watatu tu anaweka umeme ipo haja ya kumpongeza waziri huyu,kila asemacho kina hoja na ushahidi,,tusihukumu kwa kuangalia na kusikia upande mmoja.
Nenda prof watanzania makini tupo nyuma yako.
Wewe ndio upo nyuma ya huyo mtu jeudi na hasiye na heshima kwa watanzania.
Muhongo ni master of deception wajinga wajinga kama wewe hamuwezi kumshitukia.
Watz MUNGU atuponye kwenye akili zetu hivi mtu unae jitambua unaweza ukamsifia prof. mwenye dharau na kiburi kama huyu kwa watz.Hivi zile b.200 tusiseme kwa 7bu kaweka umeme vijumba viwili kijijini tena kwa kodi zetu,halafu zingine zinaliwa huko ewura na mtu ananyongwa aa sorry anajinyonga tusiseme kisa wanyumbani kama kangi alivyo badilika, kifupi kumsifia mtalaamu wa miamba dunia Afrika ni ujinga.
- Wewe eti unamtuma darasa la saba Mnyika kujibu bejti ya Muhongo, badala ya kutoa alternative budget yeye anasomea mipasho, ndio maana mtakuwa mawaziri vivuli mpaka mwisho wa dunia yenu na mtakalia majungu majungu na umbeya tu, hoja hamna mkipew ahoja kususia na kuzisha UKAWA, pole sana ila dunia ya sasa ni wenye elimu tu ndio wataendelea kuwatwala darasa la saba!1
Le Mutuz System