Natumai ulimaanisha "Hatetereki"Hayo ni maneno ya prof Muhongo akiwa huko jimboni kwake amewaasa wanachi kuwekeza kwenye elimu maana mtu mwenye elimu hateteleki hata ikija dhoruba kali.
My take: ule upande uliombwa vyeti ukalia kama umefiwa nendeni shule muda bado upo.
Ms. Rebeca 83ukiwa mtu mzima na majukumu ya kuilea familia,
kurudi shule inakua ngumu mkuu,
hata shule za jioni,
unasoma huku ukifikiria una deni sijui Tanesco sijui wapi,hautasoma kirahisi,,
Unamaanisha DAB,Hayo ni maneno ya prof Muhongo akiwa huko jimboni kwake amewaasa wanachi kuwekeza kwenye elimu maana mtu mwenye elimu hateteleki hata ikija dhoruba kali.
My take: ule upande uliombwa vyeti ukalia kama umefiwa nendeni shule muda bado upo.
Pamoja PrincessAsante mkuu,ngoja nipambane na hali yangu,lol
Pamoja Princess
Ila nakushauri usomee fani ambayo hata unaweza kujiajili nayo if muda wa kuajiliwa ukaisha (ukastaafu)
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaahhmwenzio nataka nisome inipe satisfaction nimeachieve kitu ,ila kuajiriwa,nishakua mzee🙂
Tetereka sio tetelekaHayo ni maneno ya prof Muhongo akiwa huko jimboni kwake amewaasa wanachi kuwekeza kwenye elimu maana mtu mwenye elimu hateteleki hata ikija dhoruba kali.
My take: ule upande uliombwa vyeti ukalia kama umefiwa nendeni shule muda bado upo.
Haaaahh
Nakupata Malkia wa Nguvu
Ukimaliza kusoma tuwasiliane
Nitakupa sehem kwa kampuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu profesa wa miamba pale GEOLOGY udsm.
Elimu ni hazina., Tumekusoma mhe. prof
sent from servant of God