The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,960
- 2,942
Waziri wa nishati na madini mheshmiwa Profesor Sospeter Muhongo ameshangazwa na baadhi ya viongozi kutumbua majipu kwa kujitafutia sifa na umaarufu kwenye vyombo vya habari bila kuzingatia sheria kanuni na taratibu.
Chanzo: Gazeti Uhuru
Chanzo: Gazeti Uhuru