Black Legend
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 211
- 368
Mada nzuri kama hizi zinakosa wachangiaji, i pity this generation....ungeleta mada ya Raisi wa Yanga ndo ingeona kila aina ya mbwa kuchangia.Waziri wa Elimu na Mbunge wa Rombo kwa mwenendo huu anaenda kuua zaidi Elimu yetu. Ukiangalia katika uwekezaji wa Elimu yetu ,Waziri Mkenda amehamishia nguvu kubwa katika uwekezaji katika programs za vyuo vikuu na kusahau uwekezaji katika vyuo vya kati katika fani mama kama : Kilimo,afya,ufundi ,Elimu,nk ambapo ndio msingi mkubwa wa nguvu kazi ya Taifa.
Waziri Mkenda ameenda mbali zaidi na kuendeleza kile kilichokuwa kinapigiwa kelele na wananchi na wadau wa Elimu Tanzania, kubadili vyuo vya kati kuwa vyuo vikuu au kuvikabidhi katika umiliki wa vyuo vikuu. Tumeona ombwe kubwa la wahitibu wa vyuo vikuu kukosa ubora unaotakiwa kwenye soko la ajira hasa katika kujiajili kwa kukosa maarifa na juzi zinazotakiwa katika maeneo hayo.
Kwa mfano, kwa upande wa Walimu, Walimu wengi waliyopitia vyuo vya kati wamekuwa na ubora mkubwa ukilinganisha na waliopita vyuo vikuu katika kutimisha majukuma ya ufundishaji katika shule mbalimbali.
Tunajua Mkenda ni zao la vyuo vikuu na anaegemea huko,lakini kama wadau wa Elimu tunamshauri kuwa,nchi yetu Ili iwe na wataalamu na nguvu kazi iliyo Bora na maarifa yanayotakiwa kwenye soko la ajira,basi aache kuendelea vyuo vikuu na aimalishe vyuo vya kati. Dhamana aliyopewa ya kuboresha Elimu yetu asiikimbizie vyuo vikuu, VYUO VIKUU ARE JUST DESTROYERS OF YOUTHS AND WILL NEVER PROVIDE THE NATION WITH DESIRED OUTCOMES.[emoji404]
Mkenda analenga kuua vyuo vya ualimu vyote ili ualimu Grade A uondolewe alete Dip ya primary na itolewe na vyuo vikuu, mtu kujiunga awe amemaliza form six na kupata angalau Div 3, ila hili ni "academic sucide" anaua elimu bila kujua, waalimu halisi ni wa cheti astashihada na dip ya sekondari kutoka vyuo vya kati, vyuo vikuu havijawahi kuyoa waalimu competent.Waziri wa Elimu na Mbunge wa Rombo kwa mwenendo huu anaenda kuua zaidi Elimu yetu. Ukiangalia katika uwekezaji wa Elimu yetu ,Waziri Mkenda amehamishia nguvu kubwa katika uwekezaji katika programs za vyuo vikuu na kusahau uwekezaji katika vyuo vya kati katika fani mama kama : Kilimo,afya,ufundi ,Elimu,nk ambapo ndio msingi mkubwa wa nguvu kazi ya Taifa.
Waziri Mkenda ameenda mbali zaidi na kuendeleza kile kilichokuwa kinapigiwa kelele na wananchi na wadau wa Elimu Tanzania, kubadili vyuo vya kati kuwa vyuo vikuu au kuvikabidhi katika umiliki wa vyuo vikuu. Tumeona ombwe kubwa la wahitibu wa vyuo vikuu kukosa ubora unaotakiwa kwenye soko la ajira hasa katika kujiajili kwa kukosa maarifa na juzi zinazotakiwa katika maeneo hayo.
Kwa mfano, kwa upande wa Walimu, Walimu wengi waliyopitia vyuo vya kati wamekuwa na ubora mkubwa ukilinganisha na waliopita vyuo vikuu katika kutimisha majukuma ya ufundishaji katika shule mbalimbali.
Tunajua Mkenda ni zao la vyuo vikuu na anaegemea huko,lakini kama wadau wa Elimu tunamshauri kuwa,nchi yetu Ili iwe na wataalamu na nguvu kazi iliyo Bora na maarifa yanayotakiwa kwenye soko la ajira,basi aache kuendelea vyuo vikuu na aimalishe vyuo vya kati. Dhamana aliyopewa ya kuboresha Elimu yetu asiikimbizie vyuo vikuu, VYUO VIKUU ARE JUST DESTROYERS OF YOUTHS AND WILL NEVER PROVIDE THE NATION WITH DESIRED OUTCOMES.[emoji404]
Ualimu wa degree au Dip kutoka vyuo vikuu hawawezi kuvumilia maisha ya vijijini waalimu wa grade A wanao pitia, wengi watakimbia mashuleni huku vijijini na kuja mjini,.....tuna ua elimu bila kujua wazazi wangejitokeza kupinga hili kwa nguvu zote.Ni kweli vyuo vya kati ni muhimu pia viwepo.
Katika tanzania yetu hamna tofauti ya kiutendaji kati ya mualimu wa dip na degree wote ni half bsked ila wa dip wana bidii ya kazi, labda wewe uwe mshamba wa degreeWalimu wengi wa diploma ndio wenye mentality hizi halafu ni weupe Sana kichwani.Nawashauri tu nendeni mkasome,Dunia ya Sasa sio kung'ang'ani kidiploma na cheti.
Sijasoma Diploma,ni mbobezi katika Elimu na nimepita hadi levels za juu usijuazo wewe katika Elimu, nonachoongea nimekiona na sio kuambiwa. So No personal interest on this.🙏🏼Walimu wengi wa diploma ndio wenye mentality hizi halafu ni weupe Sana kichwani.Nawashauri tu nendeni mkasome,Dunia ya Sasa sio kung'ang'ani kidiploma na cheti.
Mwalmu wa diploma zama hz kwel? uko mashule mnatakiwa mfundshe mwsho form 2 tu maana hamna madini kichwani kabsa, zaidi ya bidii hamna chengne cha maanaKatika tanzania yetu hamna tofauti ya kiutendaji kati ya mualimu wa dip na degree wote ni half bsked ila wa dip wana bidii ya kazi, labda wewe uwe mshamba wa degree
Sijasoma Diploma,ni mbobezi katika Elimu na nimepita hadi levels za juu usijuazo wewe katika Elimu, nonachoongea nimekiona na sio kuambiwa. So No personal interest on this.