Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,682
- 32,204
Vigumu kuamini!
Mhe. Waziri nenda pale TRA ofisi zao karibu na jengo la ushirika ulizia kampuni za ndege wanadaiwa shilingi ngapi.
Mbaya una uhakika wa malipo na kampuni za hapa kwetu unakuta kampuni moja ya nje inadaiwa dola laki 2 hadi 3.
Mhe. Waziri hizi pesa sio kwamba wanatoa wao. Hizi pesa ni abiria wanalipa. Wanachofanya ni wanatumika kama YONO A.M., kukusanya kodi zetu na kuturudishia.
Unapokata tiketi kodi zetu zipo ndani kisheria, kila mwezi wanatakiwa wawe wanalipa pesa zetu walizokusanya. Kukaa na pesa zetu zaidi ya dola laki moja+ Mh. waziri. Katibu Chamuriho huu ni wizi mweupe. Wanazifanyia nini muda wote?
Mhe. Waziri, saa ya kukusanya hadi shi tano. Nendeni TCAA mkapate records zote za ndege zao na abiria wao tudai pesa zetu.
Tusibanane kwenye viduka vidogo wakati ndege za nje nyingi tunadai kodi zetu. Kamuulizeni tule tubabu cha TRA pale Ushirika.
Pamoja tunaweza! Tunahitaji ndege mbili za ATCL. Hizo pesa tunapata wapi kama sio kubana hawa kodi zetu walipe?
Mhe. Waziri nenda pale TRA ofisi zao karibu na jengo la ushirika ulizia kampuni za ndege wanadaiwa shilingi ngapi.
Mbaya una uhakika wa malipo na kampuni za hapa kwetu unakuta kampuni moja ya nje inadaiwa dola laki 2 hadi 3.
Mhe. Waziri hizi pesa sio kwamba wanatoa wao. Hizi pesa ni abiria wanalipa. Wanachofanya ni wanatumika kama YONO A.M., kukusanya kodi zetu na kuturudishia.
Unapokata tiketi kodi zetu zipo ndani kisheria, kila mwezi wanatakiwa wawe wanalipa pesa zetu walizokusanya. Kukaa na pesa zetu zaidi ya dola laki moja+ Mh. waziri. Katibu Chamuriho huu ni wizi mweupe. Wanazifanyia nini muda wote?
Mhe. Waziri, saa ya kukusanya hadi shi tano. Nendeni TCAA mkapate records zote za ndege zao na abiria wao tudai pesa zetu.
Tusibanane kwenye viduka vidogo wakati ndege za nje nyingi tunadai kodi zetu. Kamuulizeni tule tubabu cha TRA pale Ushirika.
Pamoja tunaweza! Tunahitaji ndege mbili za ATCL. Hizo pesa tunapata wapi kama sio kubana hawa kodi zetu walipe?