Kionambele
JF-Expert Member
- Jan 14, 2010
- 236
- 93
Kwa kweli nimeamini CUF = CCM Underground Family, mie namfuhamu mkewe Lipumba huwa anadai kuwa mumewe ni CCM damu na kadi yao anayo mpaka leo
makubwa!
Kwa kweli nimeamini CUF = CCM Underground Family, mie namfuhamu mkewe Lipumba huwa anadai kuwa mumewe ni CCM damu na kadi yao anayo mpaka leo
Kigogo
Sikatai hilo lawezekana, lakini je unavyofikiria kwa kuwa na makubaliano ya namna hiyo, yenye lengo moja muhimu kwanza kuwang'oa CCM, hivi huoni kuwa close to 100% success inakuwa guaranteed?
Kazi hiyo CUF kamwe hawataifanya kwa sababu malengo yao ya kismingi yatofautiana na Chadema.
Mfano CUF wanataka nchi ijiunge na OIC na uanzishwaji wa mahakama za kadhi mambo ambayo Chadema haiafiki hata kidogo.
cuf ni ccm b sasa unategemea nini?