Jf,
Nadhani itakuwa afya zaidi kama Prof na kamanda wetu Lipumba atajitokeza sasa na kutuasa pia kabla hatujaenda kwenye box la kura.Dr Slaa alishatuasa na kutupa maoni yake tumeyachukua. Sisi kama chadema asilia tunaenda kupiga vita ufisadi na mafisadi kwa nguvu zote bila kumuonea haya mtu yoyote.
Staay tuned !
Nadhani itakuwa afya zaidi kama Prof na kamanda wetu Lipumba atajitokeza sasa na kutuasa pia kabla hatujaenda kwenye box la kura.Dr Slaa alishatuasa na kutupa maoni yake tumeyachukua. Sisi kama chadema asilia tunaenda kupiga vita ufisadi na mafisadi kwa nguvu zote bila kumuonea haya mtu yoyote.
Staay tuned !