Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema watalaamu wamefanya uchambuzi wa kutosha na kujiridhisha kuwa Tanzania inaweza kufikia uchumi wa Dola za Kimarekani trilioni 1 mwaka 2050.