Prof. Kitila Mkumbo, muogope Mungu!

Tatizo wafuasi wa UKAWA hawapendi kusikia habari mbaya kuhusu UKAWA na LOWASSA. Hata penye ukweli hukataa. Badilikeni siasa siyo hivyo. Wenzenu CCM mapungufu ya upinzani huyafanyia kazi. Hata hawataki kusikia habari za utafiti.punguzeni chuki kwanza na mehemko na mjifunze ustaarabu siyo kila kitu lazima kutukana.
 
Maprofesa wa Tanzania bwana! Eti watu wa vijijini wanachambua sera kuliko wa mijini!! Makubwa!
 
Unaweweseka bure! makala ya proff Kitila ameweza kujikita na kufikiria kama watanzania walio wengi ambao si mashabiki au wafuasi wa UKAWA wanavyoyaona mambo mbali mbali..... Salary slip mahaba yako kwa LOWASA yameifanya akili yako itake kulazimisha mambo au la ndio mwisho wa upeo wako....mnatakiwa mrudi darasani mjitathimini kwa dhati kuwa ni kitu mlikosea hadi mkapata kipigo mlichokipata!! Sasa ni wakati wa kufanya kazi!!!
 
Prf mihogo ajitambui
 
Tatizo hamjui kuwa Rais ana nafasi 10 za kuteua wabunge ! Profesa siyo mjinga !
 
Huyu prof anaongozwa na mahaba kwa chama flani hivi sikitaji ; thats why anaandika porojo
 
Naona kama mmepagawa au dili zenu haziendi sawa? Kukaa meza moja na mafisadi ni laana kubwa sana mmeona yaliyowakuta sasa mtakoma na hilo fisadi lenu.

kama unavosema chadema kukaa na fisadi letu yaani moja laana kubwa sasa nyinyi nyote ni mafisadi watupu waliouza migodi wanaouza nyara wanaouza cocain walochota epa escrow meremeta tan gold radar helicopters ndege ya rais bomba la ges. vp apo laana yenu ni kiasi gani
 
ndio maprofesa wa aina hio wapo wengi kwa kazi hiyo kwani sasa utasikia kila mmoja ni profesa ni dr. lkn nchi ina nini zaidi ya madeni juu ya rasilmali zote ilizokuwa nazo bora sisi tunaojituma kuvuta matoroli na maguta tunazalisha kuliko hao wenye majina ya taaluma kumbe hawana lolote wanapewa hizo sifa kwa kazi maalum
 
Prof anahulka kama Michael Wambura wa TFF, ni uzinguzi tu sijuwi kwa nini!
 
Pia usisahau wanaogopa vita kama Libya,Kuwait nk
 
Huyu ni mchumia tumbo siku lowasa anajiunga chadema alisema wamempata messi sijui alijua atashinda ili apate ulaji sasa wameiba kura akashindwa kageuka.
 
Sijui wataiua lini chadema maana mpaka sasa wana mbunge 1 akati chadema watakuwa na zaidi ya wabunge 70.
 
An empty stomach iz not a good political advisor. Hizo jitahada anazosema angekishaur chama chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…