Sidhani kama Zito alitambua kuwa amezungukwa na viongozi wa namna hii.
Mwenyekiti wa Chama na mgombea urais wa Chama, katibu wa Chama, na mshauri mkuu wa Chama.
Wawili Wamehama, mwingine yuko na nafasi ya kiserikali.
Hawa ndio ilikuwa nguzo kuu ACT na waasisi wake.
Sasa ni kama wamemtelekeza nadhani angejua hili bora hata angebaki CHADEMA.
Je hao waliobaki wamemuzunguka wako salama?