Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Pole kwa kuugua ila naamini ushaandika barua ya maelezo kwenda kwa katibu wako Dr Bashiru na Mwenyekiti wako Magufuli kujieleza ni kwanini hukuhudhuria vikao vya bunge na la muhimu zaidi ni kutopigia kura ya kupitisha sheria ya kufukarisha wakulima wa korosho Lindi na Mtwara !
- Kwa wenye uelewa mdogo tu wa kisaikolojia wanaelewa tangu siku ile ulipoambiwa kuandika barua ya maelezo ukiambatanisha na vyeti vya daktari, inaonesha ni kwamba Rais Magufuli ashakuchoka !!
- Lengo la kukuteua wewe ilikuwa ni kwa kuwa Rais alikuamini unaweza kumaliza suala la Makinikia ili yeye Apata MASIFA, kumbe hajui majamaa ni MAGWIJI wa DIPLOMASIA ambao ukiongea nao unaweza kudhani hizo pesa WATAKUPA KESHO !!
- Sasa kwa kuwa imeshindikana, hakuna jipya tena unaloweza kutoa !
POLE SANA !
- Kwa wenye uelewa mdogo tu wa kisaikolojia wanaelewa tangu siku ile ulipoambiwa kuandika barua ya maelezo ukiambatanisha na vyeti vya daktari, inaonesha ni kwamba Rais Magufuli ashakuchoka !!
- Lengo la kukuteua wewe ilikuwa ni kwa kuwa Rais alikuamini unaweza kumaliza suala la Makinikia ili yeye Apata MASIFA, kumbe hajui majamaa ni MAGWIJI wa DIPLOMASIA ambao ukiongea nao unaweza kudhani hizo pesa WATAKUPA KESHO !!
- Sasa kwa kuwa imeshindikana, hakuna jipya tena unaloweza kutoa !
POLE SANA !