Mhe. Prof. Kabudi, samahani I wish to know yale majibu umewapa EU umetoa kwa niaba ya kikao cha Baraza la Mawaziri mlichokaa na Rais akiwa mwenyekiti au umetoa kama Wizara au ni maneno yako binafsi.
It seems maneno yako yataibuwa mtifuwano wakidiplomasia nakuleta shinikizo uondolewe na usipo guswa itadhihirika Baba ndio alie kutuma jambo litazuwa jambo sio zuri ndani ya Serikali.
End
It seems maneno yako yataibuwa mtifuwano wakidiplomasia nakuleta shinikizo uondolewe na usipo guswa itadhihirika Baba ndio alie kutuma jambo litazuwa jambo sio zuri ndani ya Serikali.
End