Mhere Mwita
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 235
- 1,275
Kutokana hali isio ya kawaida wananchi wa jimbo la Mikumi wamemupokea shangwe msanii wa Bongo flavour na mmoja wapo wa wanaharakati wa mwanzo alifanya mziki huo kuonekana kwa wanajamii kuwa sio mziki wa kihuni Joseph Haule (Prof Jay) maamuzi yake ya kugombea ubunge katika jimbo hilo kwa kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (chadema)
Wananchi hao wakizungumuza katika moja ya mkutano wake wanasema hawapo tayari tena kuichagua ccm na mbunge wake Abdusalama Amer wamesema ni heshima kubwa kwa msanii huyo kugombea jimbo kwani angeweza kugombea jimbo lolote nchini na angeweza kupata lakini kwa kutambua umhimu wa kuwatumikia watu wa Mikumi na kuambua kuwatumikia wamesema watamuunga mkono msanii huyo mwenye heshima kubwa inchini
Wananchi hao wakizungumuza katika moja ya mkutano wake wanasema hawapo tayari tena kuichagua ccm na mbunge wake Abdusalama Amer wamesema ni heshima kubwa kwa msanii huyo kugombea jimbo kwani angeweza kugombea jimbo lolote nchini na angeweza kupata lakini kwa kutambua umhimu wa kuwatumikia watu wa Mikumi na kuambua kuwatumikia wamesema watamuunga mkono msanii huyo mwenye heshima kubwa inchini