Prof. Ibrahim Haruna Lipumba for BoT governor

makoye2009

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
2,638
1,218
Mimi si mwana-CUF lakini leo nimemsikliza Prof. Lipumba wakti akihojiwa na Charles Hilary wa BBC Swahili hii jioni nimefurahishwa sana na jinsi jamaa alivyokuwa anajibu Maswali ya Charles na hoja za Wasikilizaji kwa uhakika na ufahamu mkubwa kuhusiana na mgogoro wa Kiuchumi unaozikumba nchi za Jumuia ya Ulaya. Huyu jamaa yuko juu na ndiyo maana IMF wamemchukua na alikuwa akihojiwa tokea Washington DC.

Nina hakika kabisa kama Prof. Lipumba angelikuwa pale BOT uchumi wetu Tanzania ungelikuwa juu. Lakini kwa vile nchi hii imeshapoteza mwelekeo kutokana na utawala kwa kihuni wa CCM watu kama kina Lipumba wanapuuzwa simply because wako upinzani! Huu ni uhuni tu! CCM wameshindwa kujifunza kwa Nchi kama South Africa,USA, Uingereza na sasa Zambia kwa kutaja chache,kwamba Serikali zao zimeundwa kwa mchanganyiko wa Chama Tawala na Vyama pinzani kwa kujua umuhimu wa Uzalendo na kwamba nchi si ya Chama kilichoshinda kwa kura hata kama ni zaidi ya 50pc.

Tunamshauri Kiwete aunde serikali ya mseto haraka sana kwa Tanzania Bara na awateue watu kama kina Prof. Lipumba kuwa Governor wa Benki Kuu badala ya Prof. ndullu anayeonekana kupwaya kwenye nafasi hiyo au kuwa Waziri wa Fedha badala ya Kibuyu Mustafa Mkullo. Pia kuna vijana matata wa CDM ambao wana ufahamu mkubwa sana wa maswala ya Kisiasa na Kiuchumi ambao kama Kiwete atawatumia ataondoka Madarakani akiwa amejijengea Legacy iliyotukuka!

Siyo jambo la siri kuwa Prof.Lipumba yuko juu kwa mbali sana akilinganishwa na Prof. Ndulu au Mkulloi Hapa ni swala la kuweka uzalendo mbele na si ushabiki wa kisiasa wa kijinga unaoendeshwa na wanamagamba wa kufikiri kuwa Wapinzani ni wahaini ati wanataka kuipindua serikali iliyoko madarakani. Hayo nimmawazo ya ulimbukeni wa siasa, CCM lazima wakili kuwa nchi imewashinda na si vinginevyo. Lakini kwa vile sikio la kufa halisilkii dawa CCM acha wakomae na upumbavu wao,kwa sasa hawana siku nyingi za kuwemo madarakani maana ytayari taa nyekundu inayoonyesha EXIT inapiga indicator!!
 
Talking is cheap. Huyu Professor alikuwa mshauri wakati wa Mwinyi with disastrous results.
 
ndo unalijua leo hlo.!

Kama unajua tangu zamani mbona hujalisemea au kulipendekeza hapa ukumbini?
Yale yale mambo ya kiswahili ya kulalamika vijiweni na kupiga domo. Jambo likItokea au likisemwa mara utasikia, oh,mimi nilijua tu...........itakuwa! Come on my friend,speak out your mind!
 
Talking is cheap. Huyu Professor alikuwa mshauri wakati wa Mwinyi with disastrous results.

My friend FJM,

Tofautisha kuwa mtendaji na kuwa mshauri. Unaweza kuwa mshauri mzuri lakini aliyeko kwenye nafasi ya utekelezaji akafanya kinyume cha kile ulichoshauri. Ndicho kilichotokea wakti wa Rais Mwinyi. Ushauri wa Prof. Lipumba haukuwa ukizingatiwa, Remember the same Prof. Lipumba wa hired by Yoweri Kaguta M7 to advice on Uganda's economy. Uganda economy propels with a supersonic speed when the Prof's ideas and advices were implemented accordingly.

IMF wanajua nini Prof. Lipumba alifanya kwa Tanzania na Uganda na ndiyo maana wamemchukua yuko IMF Headquarters anakula kuku maana wanajua ni kichwa siyo mkia.
 
Na CUF atamwachia nani?

Huna hoja.

Prof. Lipumba kwa sasa hivi yuko Washington DC kama mmoja wa maofisa washauri wa IMF, wewe unafikiri CUF kamwachia nani.
Huko visiwani kuna serikali ya umoja wa Kitaifa, Katibu Mkuu wa CUF Maalimu Seif Sherrif Hamad ni Makamu wa Rais wa Zanziba ina maana naye nani kamwachia CUF??
 
JUzi ya Kiswahili nilisoma mawazo kama haya unayoyatoa hapa Makoye2009

Cuf wataka serikali ya umoja wa kitaifa bara.

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema matatizo ya kiuchumi yanayoikabili Serikali yatamalizwa kwa kuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa. CUF imesema Serikali ya Rais Jakaya Kikwete imeelemewa na majukumu ya kuongoza na hivyo kuhitaji msaada kwa kuundwa serikali hiyo kama ilivyo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, visiwani.

"Baraza Kuu linaona njia pekee ya kulitoa taifa hapa tulipofikishwa ni kwa rais Jakaya Kikwete na CCM kukubali kusaidiwa dhamana ya kuongoza nchi kwa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania," alisema Ali.

Aliongeza kuwa hatua hiyo pia itaisaidia nchi kuvuka salama katika mchakato wa kuandika katiba mpya ambayo itasaidia kuyapatia ufumbuzi matatizo hayo. Ali alisema serikali ya CCM imeshindwa kutatua tatizo la upatikanaji wa nishati ya umeme na kuongeza kuwa tatizo la nishati hiyo linachangiwa na kuingizwa siasa na si utaalamu au rasilimali fedha.

Cuf wataka serikali ya umoja wa kitaifa bara

CCM na Serikali yao wanapewa ushauri mwingi tu ambao utaipesha TZ kuingia katika umwagaji damu lakini hawaonekani kuwa wanaona hatari inayolikabili taifa hili. Kwa hali inavyoendelea ya "maisha bora kwa kila mtanzania" na ubabaishaji unaofanywa wa kuleta katiba mpya au katiba viraka au kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi kuna dalili mbaya kwa siku zijazo.
 
Mimi si mwana-CUF lakini leo nimemsikliza Prof. Lipumba wakti akihojiwa na Charles Hilary wa BBC Swahili hii jioni nimefurahishwa sana na jinsi jamaa alivyokuwa anajibu Maswali ya Charles na hoja za Wasikilizaji kwa uhakika na ufahamu mkubwa kuhusiana na mgogoro wa Kiuchumi unaozikumba nchi za Jumuia ya Ulaya. Huyu jamaa yuko juu na ndiyo maana IMF wamemchukua na alikuwa akihojiwa tokea Washington DC.

Nina hakika kabisa kama Prof. Lipumba angelikuwa pale BOT uchumi wetu Tanzania ungelikuwa juu. Lakini kwa vile nchi hii imeshapoteza mwelekeo kutokana na utawala kwa kihuni wa CCM watu kama kina Lipumba wanapuuzwa simply because wako upinzani! Huu ni uhuni tu! CCM wameshindwa kujifunza kwa Nchi kama South Africa,USA, Uingereza na sasa Zambia kwa kutaja chache,kwamba Serikali zao zimeundwa kwa mchanganyiko wa Chama Tawala na Vyama pinzani kwa kujua umuhimu wa Uzalendo na kwamba nchi si ya Chama kilichoshinda kwa kura hata kama ni zaidi ya 50pc.

Tunamshauri Kiwete aunde serikali ya mseto haraka sana kwa Tanzania Bara na awateue watu kama kina Prof. Lipumba kuwa Governor wa Benki Kuu badala ya Prof. ndullu anayeonekana kupwaya kwenye nafasi hiyo au kuwa Waziri wa Fedha badala ya Kibuyu Mustafa Mkullo. Pia kuna vijana matata wa CDM ambao wana ufahamu mkubwa sana wa maswala ya Kisiasa na Kiuchumi ambao kama Kiwete atawatumia ataondoka Madarakani akiwa amejijengea Legacy iliyotukuka!

Siyo jambo la siri kuwa Prof.Lipumba yuko juu kwa mbali sana akilinganishwa na Prof. Ndulu au Mkulloi Hapa ni swala la kuweka uzalendo mbele na si ushabiki wa kisiasa wa kijinga unaoendeshwa na wanamagamba wa kufikiri kuwa Wapinzani ni wahaini ati wanataka kuipindua serikali iliyoko madarakani. Hayo nimmawazo ya ulimbukeni wa siasa, CCM lazima wakili kuwa nchi imewashinda na si vinginevyo. Lakini kwa vile sikio la kufa halisilkii dawa CCM acha wakomae na upumbavu wao,kwa sasa hawana siku nyingi za kuwemo madarakani maana ytayari taa nyekundu inayoonyesha EXIT inapiga indicator!!


Unataka Kikwete aunde Serikali ya MSETO na CHADEMA waliokataa katu katu mambo ya serikali ya MSETO. Ni lazima wapinzani wenyewe waonyeshe kuwa wanaweza kushirikiana katika suala la maendeleo.

Nafikiri mwenzangu hujawasikia CHADEMA wakati CUF wametoa wazo la MSETO bara. CHADEMA WALIKUWA MSTARI WA MBELE KUWAZOMEA CUF eti kwa kuunda serikali ya Mseto ndio kidhibiti kuwa wao ni CCM B. Wakatupa matusi mpaka wakachoka.

Mwenyewe angalia CHADEMA kama chama cha upinzani wanashindwa hata kushirikiana na vyama vingine vya upinzani ndani ya bunge. Hawa hawataweza ushirikiano wowote ule kutokana na AJENDA ZAO ZA SIRI.
 
Unataka Kikwete aunde Serikali ya MSETO na CHADEMA waliokataa katu katu mambo ya serikali ya MSETO. Ni lazima wapinzani wenyewe waonyeshe kuwa wanaweza kushirikiana katika suala la maendeleo.

Nafikiri mwenzangu hujawasikia CHADEMA wakati CUF wametoa wazo la MSETO bara. CHADEMA WALIKUWA MSTARI WA MBELE KUWAZOMEA CUF eti kwa kuunda serikali ya Mseto ndio kidhibiti kuwa wao ni CCM B. Wakatupa matusi mpaka wakachoka.

Mwenyewe angalia CHADEMA kama chama cha upinzani wanashindwa hata kushirikiana na vyama vingine vya upinzani ndani ya bunge. Hawa hawataweza ushirikiano wowote ule kutokana na AJENDA ZAO ZA SIRI.

Umeongea MKUU. Uko juu ya mstari, ON THE LINE. Thanks. VIVA JF.
 
Mimi si mwana-CUF lakini leo nimemsikliza Prof. Lipumba wakti akihojiwa na Charles Hilary wa BBC Swahili hii jioni nimefurahishwa sana na jinsi jamaa alivyokuwa anajibu Maswali ya Charles na hoja za Wasikilizaji kwa uhakika na ufahamu mkubwa kuhusiana na mgogoro wa Kiuchumi unaozikumba nchi za Jumuia ya Ulaya. Huyu jamaa yuko juu na ndiyo maana IMF wamemchukua na alikuwa akihojiwa tokea Washington DC.

Nina hakika kabisa kama Prof. Lipumba angelikuwa pale BOT uchumi wetu Tanzania ungelikuwa juu. Lakini kwa vile nchi hii imeshapoteza mwelekeo kutokana na utawala kwa kihuni wa CCM watu kama kina Lipumba wanapuuzwa simply because wako upinzani! Huu ni uhuni tu! CCM wameshindwa kujifunza kwa Nchi kama South Africa,USA, Uingereza na sasa Zambia kwa kutaja chache,kwamba Serikali zao zimeundwa kwa mchanganyiko wa Chama Tawala na Vyama pinzani kwa kujua umuhimu wa Uzalendo na kwamba nchi si ya Chama kilichoshinda kwa kura hata kama ni zaidi ya 50pc.

Tunamshauri Kiwete aunde serikali ya mseto haraka sana kwa Tanzania Bara na awateue watu kama kina Prof. Lipumba kuwa Governor wa Benki Kuu badala ya Prof. ndullu anayeonekana kupwaya kwenye nafasi hiyo au kuwa Waziri wa Fedha badala ya Kibuyu Mustafa Mkullo. Pia kuna vijana matata wa CDM ambao wana ufahamu mkubwa sana wa maswala ya Kisiasa na Kiuchumi ambao kama Kiwete atawatumia ataondoka Madarakani akiwa amejijengea Legacy iliyotukuka!

Siyo jambo la siri kuwa Prof.Lipumba yuko juu kwa mbali sana akilinganishwa na Prof. Ndulu au Mkulloi Hapa ni swala la kuweka uzalendo mbele na si ushabiki wa kisiasa wa kijinga unaoendeshwa na wanamagamba wa kufikiri kuwa Wapinzani ni wahaini ati wanataka kuipindua serikali iliyoko madarakani. Hayo nimmawazo ya ulimbukeni wa siasa, CCM lazima wakili kuwa nchi imewashinda na si vinginevyo. Lakini kwa vile sikio la kufa halisilkii dawa CCM acha wakomae na upumbavu wao,kwa sasa hawana siku nyingi za kuwemo madarakani maana ytayari taa nyekundu inayoonyesha EXIT inapiga indicator!!

Mmabo matatu muhimu kwenye post yako>> moja nakubaliana na wewe kabisa kuwa Prf. Lipumba ni mchumi sio mwanasiasa so post yoyote ya kiuchumi akipewa anaweza kuwa potential kuliko hii ya kisiasa aliyo nayo. Pili governor sio post ya kisiasa, governor anaweza kuteuliwa mtu yoyote bila kujali chama chake lakini tatu katiba yetu hairuhusu serikali ya mseto kwa ushauri wako kwa rais hauzingatia matakwa ya kikatiba na mwisho kabisa usiwe mepesi sana ku conclude kwa kusikia tu kile mtu anachosema fanya utafiti kidogo juu ya utendaji wake kwani uzoefu unaonyesha ni rahisi sana kusema kuliko kutenda, things are easier said than done!!!
 
The Governor of Bot is not the only one responsible for the state of the Tanzanian economy today. It is rumored that there are people at the BoT who have been looting Tanzania for the past 30 years. Those individuals are still there.
 
Suala la uzalendo halimo katika kamusi ya watanzania wengi kwa sasa,kutofautiana itikadi za kisiasa hakumfanyi mtaalam wa fani fulani kuwa incompetent.Naamini katika mseto wa mawazo ili tuweze kujikwamua kutokana na huu umaskini unaoendelea kukithiri.Lakini kwa hali ilivyo sasa serikali inaonekana haiamini chochote toka kwa mtu aliyena itikadi tofauti na CCM kama yanaweza saidia..wacha tuendelee kupiga makitaimu..
 
My friend FJM,

Tofautisha kuwa mtendaji na kuwa mshauri. Unaweza kuwa mshauri mzuri lakini aliyeko kwenye nafasi ya utekelezaji akafanya kinyume cha kile ulichoshauri. Ndicho kilichotokea wakti wa Rais Mwinyi. Ushauri wa Prof. Lipumba haukuwa ukizingatiwa, Remember the same Prof. Lipumba wa hired by Yoweri Kaguta M7 to advice on Uganda's economy. Uganda economy propels with a supersonic speed when the Prof's ideas and advices were implemented accordingly.

IMF wanajua nini Prof. Lipumba alifanya kwa Tanzania na Uganda na ndiyo maana wamemchukua yuko IMF Headquarters anakula kuku maana wanajua ni kichwa siyo mkia.

Hata sasa JMKana team nzuri ya Uchumi watu kama Prof. Haji Semboja, ESRF team, Wangwe lakini uchumi ndio unadorora. Unayemshauri ana maamuzi mzuri hili ni swala la pili. I think Mr President hana priority ya kufufua na kusimamia uchumi. Huu ni mtazamo wangu tuu.



Nawasilisha.
 
Mimi si mwana-CUF lakini leo nimemsikliza Prof. Lipumba wakti akihojiwa na Charles Hilary wa BBC Swahili hii jioni nimefurahishwa sana na jinsi jamaa alivyokuwa anajibu Maswali ya Charles na hoja za Wasikilizaji kwa uhakika na ufahamu mkubwa kuhusiana na mgogoro wa Kiuchumi unaozikumba nchi za Jumuia ya Ulaya. Huyu jamaa yuko juu na ndiyo maana IMF wamemchukua na alikuwa akihojiwa tokea Washington DC.

Nina hakika kabisa kama Prof. Lipumba angelikuwa pale BOT uchumi wetu Tanzania ungelikuwa juu. Lakini kwa vile nchi hii imeshapoteza mwelekeo kutokana na utawala kwa kihuni wa CCM watu kama kina Lipumba wanapuuzwa simply because wako upinzani! Huu ni uhuni tu! CCM wameshindwa kujifunza kwa Nchi kama South Africa,USA, Uingereza na sasa Zambia kwa kutaja chache,kwamba Serikali zao zimeundwa kwa mchanganyiko wa Chama Tawala na Vyama pinzani kwa kujua umuhimu wa Uzalendo na kwamba nchi si ya Chama kilichoshinda kwa kura hata kama ni zaidi ya 50pc.

Tunamshauri Kiwete aunde serikali ya mseto haraka sana kwa Tanzania Bara na awateue watu kama kina Prof. Lipumba kuwa Governor wa Benki Kuu badala ya Prof. ndullu anayeonekana kupwaya kwenye nafasi hiyo au kuwa Waziri wa Fedha badala ya Kibuyu Mustafa Mkullo. Pia kuna vijana matata wa CDM ambao wana ufahamu mkubwa sana wa maswala ya Kisiasa na Kiuchumi ambao kama Kiwete atawatumia ataondoka Madarakani akiwa amejijengea Legacy iliyotukuka!

Siyo jambo la siri kuwa Prof.Lipumba yuko juu kwa mbali sana akilinganishwa na Prof. Ndulu au Mkulloi Hapa ni swala la kuweka uzalendo mbele na si ushabiki wa kisiasa wa kijinga unaoendeshwa na wanamagamba wa kufikiri kuwa Wapinzani ni wahaini ati wanataka kuipindua serikali iliyoko madarakani. Hayo nimmawazo ya ulimbukeni wa siasa, CCM lazima wakili kuwa nchi imewashinda na si vinginevyo. Lakini kwa vile sikio la kufa halisilkii dawa CCM acha wakomae na upumbavu wao,kwa sasa hawana siku nyingi za kuwemo madarakani maana ytayari taa nyekundu inayoonyesha EXIT inapiga indicator!!

Mkuu unasema aunde serikali ya mseto ya Tanzania Bara!Kwani Tanzania bara ni nchi?Kwani yeye ni rais wa Tanzania Bara au Tanzania?
Wewe haujui kuwa mkulu naye kasoma uchumi pale YUDIZIMU alafu ana phD!
 
Muongeaji mzuri sana mara nyingi sio mtendaji. Hayo mambo aliyoyaongea wengi wanayajua na walikosa nafasi ya kuulizwa kama alivyoipata yeye
 
Mimi si mwana-CUF lakini leo nimemsikliza Prof. Lipumba wakti akihojiwa na Charles Hilary wa BBC Swahili hii jioni nimefurahishwa sana na jinsi jamaa alivyokuwa anajibu Maswali ya Charles na hoja za Wasikilizaji kwa uhakika na ufahamu mkubwa kuhusiana na mgogoro wa Kiuchumi unaozikumba nchi za Jumuia ya Ulaya. Huyu jamaa yuko juu na ndiyo maana IMF wamemchukua na alikuwa akihojiwa tokea Washington DC.

Nina hakika kabisa kama Prof. Lipumba angelikuwa pale BOT uchumi wetu Tanzania ungelikuwa juu. Lakini kwa vile nchi hii imeshapoteza mwelekeo kutokana na utawala kwa kihuni wa CCM watu kama kina Lipumba wanapuuzwa simply because wako upinzani! Huu ni uhuni tu! CCM wameshindwa kujifunza kwa Nchi kama South Africa,USA, Uingereza na sasa Zambia kwa kutaja chache,kwamba Serikali zao zimeundwa kwa mchanganyiko wa Chama Tawala na Vyama pinzani kwa kujua umuhimu wa Uzalendo na kwamba nchi si ya Chama kilichoshinda kwa kura hata kama ni zaidi ya 50pc.

Tunamshauri Kiwete aunde serikali ya mseto haraka sana kwa Tanzania Bara na awateue watu kama kina Prof. Lipumba kuwa Governor wa Benki Kuu badala ya Prof. ndullu anayeonekana kupwaya kwenye nafasi hiyo au kuwa Waziri wa Fedha badala ya Kibuyu Mustafa Mkullo. Pia kuna vijana matata wa CDM ambao wana ufahamu mkubwa sana wa maswala ya Kisiasa na Kiuchumi ambao kama Kiwete atawatumia ataondoka Madarakani akiwa amejijengea Legacy iliyotukuka!

Siyo jambo la siri kuwa Prof.Lipumba yuko juu kwa mbali sana akilinganishwa na Prof. Ndulu au Mkulloi Hapa ni swala la kuweka uzalendo mbele na si ushabiki wa kisiasa wa kijinga unaoendeshwa na wanamagamba wa kufikiri kuwa Wapinzani ni wahaini ati wanataka kuipindua serikali iliyoko madarakani. Hayo nimmawazo ya ulimbukeni wa siasa, CCM lazima wakili kuwa nchi imewashinda na si vinginevyo. Lakini kwa vile sikio la kufa halisilkii dawa CCM acha wakomae na upumbavu wao,kwa sasa hawana siku nyingi za kuwemo madarakani maana ytayari taa nyekundu inayoonyesha EXIT inapiga indicator!!


Tatizo ni kwamba hata Lipumba akiwa Gavana ama Waziri Mkuu au hata Waziri wa Fedha hataweza kufanya chochote maana watawala ni wale wale wa CCM. CCM hawawezi muacha mtu afanye mambo kitaalam lazima wataingiza ufisadi, wizi, majunga na hata kumzuia asitekeleze wajibu wake kitaalam. Kama ni Lipumba kuwa Gavana asubiri hadi CCM wang'olewe ama na CUF au CHADEMA
 
Mkuu Makoye,

Naomba ufafanuzi kidogo ni mwaka gani prof Lipumba alikuwa mshauri wa uchumi Uganda/M7 ?.Niliwahi kusikia mahali kwamba hii ilikuwa ni propaganda za kisiasa.


My friend FJM,

Tofautisha kuwa mtendaji na kuwa mshauri. Unaweza kuwa mshauri mzuri lakini aliyeko kwenye nafasi ya utekelezaji akafanya kinyume cha kile ulichoshauri. Ndicho kilichotokea wakti wa Rais Mwinyi. Ushauri wa Prof. Lipumba haukuwa ukizingatiwa, Remember the same Prof. Lipumba wa hired by Yoweri Kaguta M7 to advice on Uganda's economy. Uganda economy propels with a supersonic speed when the Prof's ideas and advices were implemented accordingly.

IMF wanajua nini Prof. Lipumba alifanya kwa Tanzania na Uganda na ndiyo maana wamemchukua yuko IMF Headquarters anakula kuku maana wanajua ni kichwa siyo mkia.
 
Jamani hivi vitu vya uchambuzi wa kutumia natharia (theory) mtu kama ni mzuri wa kujieleza anaweza akateka dunia nzima, ila linapokuja swala la ku-fuse theory and practice, hapo ndipo kazi ipo na hapo ndio watu hupewa credit za ukweli...Mfano kuna mwana jamii moja katukumbusha kuwa Prof. alikua Lipumba alikua mshauri wa Rais Mwinyi ila mambo nayo hayakua mazuri..nae (Lipumba) alijitokeza wazi akasema sasa unaposhauri mambo mazuri alafu hayafanyiwi kazi, unategemea nini kitokee?? Mh. Godon Brown alie kuwa waziri mkuu wa wingereza, wengi walikua wakimsifu kuwa ni kichwa na angeweza kuingoza Wingereza vizuri, ili kilichompata enzi za uongozi wake kila mtu anakijua...Kwa mfumu huu wa serikali yetu hata akija DSK hakuna kitakacho badilika, kwasababu wataalamu wanashauri vizuri ila wanasiasa wanafanya vingine ili kujitajirisha wao na wala sio nchi.
 
Back
Top Bottom