Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Habari wanabodi
Nyota ya Katibu mkuu wa CHADEMA inazidi kung'aa baada ya mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam Proffesor Benson Bana kusema kwamba mwanasiasa mwenye nguvu kwa sasa anayeweza kuitetemesha CCM na hata kushika ikulu ni Mh,Dk W.P Slaa.
Ameyasema hayo wakati akihojiwa na Sauti ya America(VOA) jioni hii tarehe 22/07/2015..Amesema tafiti nyingi zinaonyesha Dk Slaa ana nguvu kubwa!
My take;
Nafikiri waliosema watashinda kwa goli la mkono wajiandae sana.
Nyota ya Katibu mkuu wa CHADEMA inazidi kung'aa baada ya mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam Proffesor Benson Bana kusema kwamba mwanasiasa mwenye nguvu kwa sasa anayeweza kuitetemesha CCM na hata kushika ikulu ni Mh,Dk W.P Slaa.
Ameyasema hayo wakati akihojiwa na Sauti ya America(VOA) jioni hii tarehe 22/07/2015..Amesema tafiti nyingi zinaonyesha Dk Slaa ana nguvu kubwa!
My take;
Nafikiri waliosema watashinda kwa goli la mkono wajiandae sana.