Dk. Benson Bana ashauri CCM wasimpe Magufuli uenyekiti wa chama

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,961
BANANEW.jpg

Wakati maandalizi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kumkabidhi Rais John Magufuli uenyekiti wa chama hicho yakitarajiwa kuanza kesho, Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dar es Salaam, Dk Benson Bana amekishauri chama hicho kubadili katiba yake ili Rais asiwe mwenyekiti wa chama.

Dk Bana amesema jana kuwa Rais anatakiwa kuachwa afanye kazi yake ya kuongoza nchi na si kuvaa kofia nyingine ya kukiongoza chama na kutumia muda wa ziada kupambana na vyama vya upinzani.

Kikao hicho cha siku moja cha CCM kinatarajiwa kujadili masuala mbalimbali, yakiwamo makabidhiano hayo yatakayofanyika katika mkutano mkuu wa chama hicho utakaofanyika mwezi ujao na kushuhudia Rais Magufuli akirithi mikoba ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete aliyemaliza muda wake wa uenyekiti wa chama hicho.

“Si lazima Kikwete aendelee na nafasi ya uenyekiti ingawa kafanya kazi nzuri. CCM ina watu wengi wazuri wanaoweza kushika nafasi hiyo na kukiongoza chama kwa mafanikio. Magufuli anapaswa kufanya kazi ya Serikali,” amesema Dk Bana.
 
Wakati maandalizi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kumkabidhi Rais John Magufuli uenyekiti wa chama hicho yakitarajiwa kuanza kesho, Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dar es Salaam, Dk Benson Bana amekishauri chama hicho kubadili katiba yake ili Rais asiwe mwenyekiti wa chama.

Dk Bana amesema jana kuwa Rais anatakiwa kuachwa afanye kazi yake ya kuongoza nchi na si kuvaa kofia nyingine ya kukiongoza chama na kutumia muda wa ziada kupambana na vyama vya upinzani.

Kikao hicho cha siku moja cha CCM kinatarajiwa kujadili masuala mbalimbali, yakiwamo makabidhiano hayo yatakayofanyika katika mkutano mkuu wa chama hicho utakaofanyika mwezi ujao na kushuhudia Rais Magufuli akirithi mikoba ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete aliyemaliza muda wake wa uenyekiti wa chama hicho.

“Si lazima Kikwete aendelee na nafasi ya uenyekiti ingawa kafanya kazi nzuri. CCM ina watu wengi wazuri wanaoweza kushika nafasi hiyo na kukiongoza chama kwa mafanikio. Magufuli anapaswa kufanya kazi ya Serikali,” amesema Dk Bana.


Huyu dkt Bana huwa namshangaa sana. Sasa kama anakiri Kikwete alifanya kazi nzuri huku akiwa raisi, ana hofu gani na Magufili?

Ushauri wake ni mzuri ila aache "upanya" , kin'gata na kupuliza!
 
Hakuna mwana ccm hata mmoja wa kuvumilia njaa, wote ni malaika. Je watakubali kuishi kama mashetani?

Kama wafanyakazi wa serikali njaa zimewakamata kila kona kwa kunyimwa viposho ambavyo vilikuwa vinaziba uchungu wa mishahara midogo wakati wabunge wanapewa hivyo viposho kwa hela za serikali hii hii, je vipi huyu katibu wa CCM anayechukua kodi yote kwenye jengo la chama na kuitafuna na familia yake? Level play ground wataweza?
 
Huyu haongei bure bali katumwa ili kuupa nguvu mpango huo.

Wengi wazito watatumika ku-influence wazo hili la kubadili huu utaratibu.

Uchaguzi huu unaweza kuivuruga vibaya CCM kuliko hata ilivyokuwa kwenye mchakato wa kumpata mgombea uraisi wa chama.
 
Wakati maandalizi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kumkabidhi Rais John Magufuli uenyekiti wa chama hicho yakitarajiwa kuanza kesho, Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dar es Salaam, Dk Benson Bana amekishauri chama hicho kubadili katiba yake ili Rais asiwe mwenyekiti wa chama.

Dk Bana amesema jana kuwa Rais anatakiwa kuachwa afanye kazi yake ya kuongoza nchi na si kuvaa kofia nyingine ya kukiongoza chama na kutumia muda wa ziada kupambana na vyama vya upinzani.

Kikao hicho cha siku moja cha CCM kinatarajiwa kujadili masuala mbalimbali, yakiwamo makabidhiano hayo yatakayofanyika katika mkutano mkuu wa chama hicho utakaofanyika mwezi ujao na kushuhudia Rais Magufuli akirithi mikoba ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete aliyemaliza muda wake wa uenyekiti wa chama hicho.

“Si lazima Kikwete aendelee na nafasi ya uenyekiti ingawa kafanya kazi nzuri. CCM ina watu wengi wazuri wanaoweza kushika nafasi hiyo na kukiongoza chama kwa mafanikio. Magufuli anapaswa kufanya kazi ya Serikali,” amesema Dk Bana.
wacha uongo. katiba ya ccm haisemi rais wa jamhuri ndio awe mwenyekiti wake. dr. bana analifahamu hilo. wanaccm wanategemea kumchagua jpm kua mwenyekiti wao ili atumbue majipu kwenye chama. hii ndio inawatia kiwewe mafisadi.
 
Hivi hapa Tz DR ama mchambuzi wa mambo ya siasa ni huyu huyu kanjanja wa fisiemu?
Na ni kanjanja gani wa habari huwa anamuhoji huyu ? au wa UHURU?
 
Wakati maandalizi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kumkabidhi Rais John Magufuli uenyekiti wa chama hicho yakitarajiwa kuanza kesho, Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dar es Salaam, Dk Benson Bana amekishauri chama hicho kubadili katiba yake ili Rais asiwe mwenyekiti wa chama.

Dk Bana amesema jana kuwa Rais anatakiwa kuachwa afanye kazi yake ya kuongoza nchi na si kuvaa kofia nyingine ya kukiongoza chama na kutumia muda wa ziada kupambana na vyama vya upinzani.

Kikao hicho cha siku moja cha CCM kinatarajiwa kujadili masuala mbalimbali, yakiwamo makabidhiano hayo yatakayofanyika katika mkutano mkuu wa chama hicho utakaofanyika mwezi ujao na kushuhudia Rais Magufuli akirithi mikoba ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete aliyemaliza muda wake wa uenyekiti wa chama hicho.

“Si lazima Kikwete aendelee na nafasi ya uenyekiti ingawa kafanya kazi nzuri. CCM ina watu wengi wazuri wanaoweza kushika nafasi hiyo na kukiongoza chama kwa mafanikio. Magufuli anapaswa kufanya kazi ya Serikali,” amesema Dk Bana.

Aache uoga kabisa na namshauri Dkt atulie, shida iko wapi na kwann anaibua hiyo hoja kipindi hiki na sio vipindi vingine????:confused::confused:
 
Back
Top Bottom