Prof. Baregu: Prof. Kabudi na Humphrey Polepole mkitusaliti kuhusu rasimu ya Warioba tutawashangaa

Watoa mada walifanana mitizamo haikuwa nzuri sana UDASA wangetafuta watu wenye hoja pingamizi nao watoe mada
 
Ukishapewa madaraka,umezibwa mdomo hata yeye Baregu akipewa ulaji atanyamaza.cc Kitila Mkumbo na saga la uteuzi wa wasomi
Usimlinganishe kitila na baregu. Hao ni watu wenye msimamo miwili tofauti kabisa. Hata ukiwa tazama tu utaiona na kuijua tofauti. Lakini swala la huyo slowslow ni la wazi kabisa. Na hata kapala kanini sijui na yeye tayari keshaanza. Within no time atakuwa slow slow number 2.
 
S
Watu kama wewe ni wale ambao MNA akili kama bitozi serikali ikiwaambia nendeni mkatahiriwe wewe unakuomba wakuhasi sasa FISADI MKUU ndo ndani kwenye serikali tatu
Lakini pia yanaongelewa masuala ya kubadilika. Baregu naye alibadilika kwa kukubali kumkumbati Lowasa kinyume na ilivyokuwa awali. Siyo ajabu Kabudi na Humphrey kubadilika pia.
 
Chadema bana,unawatisha watu wa ccm waende kinyume na chama chao?Hilo ni gumu sana,tafuteni mbinu za kuidhoofisha ccm
Huyu baregu anazeeka vibaya,mbona yeye hajishangai kumwita lowassa mwizi kwa miaka8,akaketi kwenye kamati kuu kwa nusu saa tu akampitisha kuwa mgombea urais
Katiba haina CHAMA
 
Leo katika Kongamano la Kumbukumbu ya Muungano UDSM,nimekuona na kukusikia ukisema na 'wenzako' wawili. Ni Prof. Palamagamba Kabudi na Humphrey Polepole. Ni wenzako kwakuwa wote mlikuwa Wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katibu alias Tume ya Warioba.

Prof. Baregu umewachokoza wenzako hao na kuwaomba kukamilisha kazi mlioianza. Kazi ya kupata Katiba mpya. Kwasasa,Prof. Kabudi ni Waziri wa Katiba na Sheria. Mtu muhimu kiserikali na kisekta. Polepole ni Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM. Mtu muhimu kichama na kwa kitengo

Umewapa ujumbe. Umewachokoza kukamilisha walichokianzisha na kukitolea jasho. Watachokozeka? Tusubiri!

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
 
Leo katika Kongamano la Kumbukumbu ya Muungano UDSM,nimekuona na kukusikia ukisema na 'wenzako' wawili. Ni Prof. Palamagamba Kabudi na Humphrey Polepole. Ni wenzako kwakuwa wote mlikuwa Wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katibu alias Tume ya Warioba.

Prof. Baregu umewachokoza wenzako hao na kuwaomba kukamilisha kazi mlioianza. Kazi ya kupata Katiba mpya. Kwasasa,Prof. Kabudi ni Waziri wa Katiba na Sheria. Mtu muhimu kiserikali na kisekta. Polepole ni Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM. Mtu muhimu kichama na kwa kitengo

Umewapa ujumbe. Umewachokoza kukamilisha walichokianzisha na kukitolea jasho. Watachokozeka? Tusubiri!

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Nchi hii mtu akishakuwa ccm akili zinaruka,sisi wengine tunaichukia kwa kuwa imeharibu vichwa vya watanzania walio wengi
 
Wewe unalo? Mkabila mkubwa

Mzee Tupatupa
Mzee Tupatupa wacha tuendelee kutizama unafiq wa viongozi wetu. Kila siku huwa nawaambia watu kwamba hakuna unafuu,hakuna cha CCM,CHADEMA,CUF,NCCR,CHAUMA,ACT,SAU...etc

Wote kila mtu ana maslahi na tumbo lake pekee.

Wacha mimi nitafute 2300 ya unga mpaka sahizi sijala

Cc :Nyani Ngabu
Bwa' Nchuchu
James Jeddah
 
Nyinyi wanasiasa hata mkiwa maprofesa ndo viongozi wa ugeugeu mnaona wenzenu nyinyi hamjioni wote ni wamoja maslahi tumbo mbele
 
Sawasawa sasa naelewa ! asanteni kwa mlionifumbua macho kua kati ya wateule wa mtukukwa,kuna waliokuepo kwenye tume ya katiba.
Hiyo ni moja ya mbinu za ccm kudhofisha nguvu ya wajumbe hao katika kuitetea katiba waliyoisumbukia wenyewe.kama alivyofanya warioba na polepole.kwahiyo anawabana kiana kwakuwapa madaraka ndani ya utawala wake ili kumsimamia katika kuiharibu katiba.this guy is really an e..l !
 
Back
Top Bottom