Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Mada ni miaka 50 ya muungano,kipindi ni mwendo wa data kupitia umuhimu wa serikali 3.
tupe mahojiano yote mkuu wengine tulikuwa barabarani bado hakuna tvukisikia uzee dawa ndio huu prof kaelezea walivyomhoji karume na mambo mengi kuhusu kazi za tume ........sio kama wale simbilisi wa interahamwe....
Hii kasema tu kama mfano ulio hai na mojawapo ya kero na hatari ya uhai wa Muungano wetu.Prof baregu amesema wamependekeza muundo wa 3 gvnt kutokana na mgogoro wa katiba ya zanzibar dhidi ya ile katiba ya muungano;anasema watawala wa muungano wamekaa kimyaa wakati katiba ya znz inavunja katiba ya jamhuri