Guru Master
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 226
- 594
Unafaham maana ya logic? Basi wala usipanic tujibishane kwa hoja. Usitokwe na povu dogo.Uwe unasema na kuhakikisha u.eelewa ulichosoma kuliko kuchangia kitu ambacho hukuelewa. Unajiabisha na kuonekana na low mind. Rudia tena kusoma.na ujipe muda wa kutafakari. Usikurupuke kujibu.