Habari wana JF,naombeni msaada wenu natafuta kazi ya procurement kwa ajili ya mdogo wangu wa kike nimemsomesha kwa shida sana sasa kamaliza na kafaulu vizuri ila hana kazi.Jambo hili linanisumbua sana.
Kwa yeyote anayejua hata sehemu ambayo anaweza akapata hata intern naomba anisaidie kunipa hizo taarifa nimeshajaribu sehemu zote ninazozijua bila mafanikio.
Kwa yeyote anayejua hata sehemu ambayo anaweza akapata hata intern naomba anisaidie kunipa hizo taarifa nimeshajaribu sehemu zote ninazozijua bila mafanikio.