Wakuu hbrn,nilitaka kujua why in school we not taught money??
asa hio angalia ukiwapa mboga watoto wako nani habakiwi Na nyama mwishoni ugali ukiisha,
Jitathimini Na wewe ulikua unakula nyama kwanza au ugali kwanza kama ulikua unakula nyama kwanza hautakuja kuweza kuweka akiba hata siku moja
jinga hili kwani hela inafundishwa wee isakanyue huko ndichi mpaka ipatikane huyo nyete alitaka kunipa ban,, naona umemjibu ki "Nyete, Nyete"
jinga hili kwani hela inafundishwa wee isakanyue huko ndichi mpaka ipatikane huyo nyete alitaka kunipa ban
nibora uwe mpole tu huyu nyete ndo ivo kishatokomea asije leta Na shida za ban tenaHahaa,, mods walitaka kukufanyia kazi wanayoijua vizuri kuliko zote humu jukwaani
asa hio angalia ukiwapa mboga watoto wako nani habakiwi Na nyama mwishoni ugali ukiisha,
Jitathimini Na wewe ulikua unakula nyama kwanza au ugali kwanza kama ulikua unakula nyama kwanza hautakuja kuweza kuweka akiba hata siku moja
mkuu kwani kunatatizo gani mbona kama unamashaka sana Na hio salam yanguAnakusalimia @joanah
mkuu kwani kunatatizo gani mbona kama unamashaka sana Na hio salam yangu
Hapana mkuu naomba kukanusha hili swala nanimakosa mtu kutajwa tajwa hovyo si uungwana kabisa Na ukikuta tena uwe unampa habari joanahNilipita mahali nikaona unatajwa sana ww na @joanah
Hapana mkuu naomba kukanusha hili swala nanimakosa mtu kutajwa tajwa hovyo si uungwana kabisa Na ukikuta tena uwe unampa habari joanah
hahahahahaaaa Mzee Leo umenivunja kinoma haya bhana kunywa ndovu mbili ukiwa unasubiri game ya Kenya Na tz ntalipaNikawa nawaza kwamba Nyekundu ndo unatoka na joanah nn?
hahahahahaaaa Mzee Leo umenivunja kinoma haya bhana kunywa ndovu mbili ukiwa unasubiri game ya Kenya Na tz ntalipa
daaah Leo nimelala mpaka saa nne kisa starz bora ningeenda hata Kwa mchepuko wangunimeagiza Balimi
daaah Leo nimelala mpaka saa nne kisa starz bora ningeenda hata Kwa mchepuko wangu
Duuh hii ni Vasco dagama tuliyoipata mkuu kweli Kenya akatukwepeshe ndegePole sana afande