Pro Lipumba ainanga wizara ya mambo ya ndani.

Pro Lipumba ainanga wizara ya mambo ya ndani.

Breki sina

Member
Joined
Jun 3, 2013
Posts
96
Reaction score
32
Source Itv habari,akizungumza baada ya kuhitimisha balaza kuu la uongozi la Cuf mwenyekiti wa Cuf taifa amelishambulia jeshi la polisi kitengo cha kupambana na madawa ya kulevya kwa kushindwa kupambana na wafanya biashara haramu wanaouza madawa ya kulevya na kuchafua taswira ya nchi nje ya mipaka,huku nguvu kazi ikipotea pia ameishangaa wizara ya mambo ya ndani,kuwa wapo wapi mpaka waziri wa uchukuzi ndio aende kupambana na wapitisha madawa katika kiwanja cha ndege cha JKIA ,wakati polisi wapo na wanatanua hapa nadhani alikuwa anamgusa Nchimbi.
 
Mwakyembe apewe wizara mbili, anaweza kuziongoza: Wizara ya mambo ya ndani na wizara ya Uchukuzi. He is committed. Ila mtasikia kuwa kapewa ubalozi nje ya nchi, KISA RTZ1 ni mdau na ukoo wake wa panya!
 
Source Itv habari,akizungumza baada ya kuhitimisha balaza kuu la uongozi la Cuf mwenyekiti wa Cuf taifa amelishambulia jeshi la polisi kitengo cha kupambana na madawa ya kulevya kwa kushindwa kupambana na wafanya biashara haramu wanaouza madawa ya kulevya na kuchafua taswira ya nchi nje ya mipaka,huku nguvu kazi ikipotea pia ameishangaa wizara ya mambo ya ndani,kuwa wapo wapi mpaka waziri wa uchukuzi ndio aende kupambana na wapitisha madawa katika kiwanja cha ndege cha JKIA ,wakati polisi wapo na wanatanua hapa nadhani alikuwa anamgusa Nchimbi.

Mbona kwenye sakata la viongozi wenzake wa CUF kukamatwa na kuteswa kule Mtwara hakutoa tamko lolote? Na badala yake tulimshuhudia akiingia Magogoni na kutoka kimya kimya akiwa amebeba mnacho kiita "TUZO YA AMANI"?

Huwa hata sitaki tena kulisikia hili jina sijui la Prof. wa unafiki sijui!!!
 
Mh! Kwa serikali ipi ya kushauri hivyo?
 
Huyu naye hana jipya anatafuta umaarufu upya maana watu walisha choka na polojo zake sasa kwa mfn anapo msifu Mwakembe kwa lipi? Haya ameagiza watumishi wa zamu ya cku ile wakamatwe je? watakamatwa kweli? Wakikamatwa watapelekw mahakamani? Wakipelekwa mahakamani watahukumiwa? tuacheni kudanganywa madawa ya kulevya hayawezi kuzuwiwa na mtu mmoja nawaapieni hataweza maana anasimamia wizara siyo familiya yake.
 
Back
Top Bottom