James 25th
Member
- Feb 24, 2025
- 38
- 17
Habari ya wakati wakuu, natumai mnaendelea vyema.
Tangu jamiiforum kuzuiwa, hii ni post yangu ya kwanza, Hivyo napenda kutumia mda huu kutoa pole kwa wale wote walio kumbwa na majanga ya October 29, 2025. Wapo walio poteza wapendwa wao/ walio poteza mali, kikubwa Mwenyezi Mungu azidi kutupigania.
Pia, natoa shukurani zangu kwa wale wote walioniamini nakufanya nao Kazi mbarikiwe.
Shughuri zangu za udereva zinaendelea ikiwa tunaenda kufunga mwaka. Miongoni mwa huduma,.
1. Kuendesha familia,
2. Kuendesha mtu binafsi nje ya familia.
3. Kusafilisha magari, kutoka Dar kwenda mikoani.
4. Private car driving skills.
Hii, imejikita kuwafundisha watu gari kwenye mazingira yao ya nyumbani na mda wao.
Namna Kazi zinafanyika ni
Kwa saa/masaa/wiki/mwezi n.k
Gharama. Itategemea na huduma/Kazi
Mawasiliano
Call: 0627776134
Whatsapp: 0714016639
Email: jamesjoshuaem@gmail.com
🙏🙏
Tangu jamiiforum kuzuiwa, hii ni post yangu ya kwanza, Hivyo napenda kutumia mda huu kutoa pole kwa wale wote walio kumbwa na majanga ya October 29, 2025. Wapo walio poteza wapendwa wao/ walio poteza mali, kikubwa Mwenyezi Mungu azidi kutupigania.
Pia, natoa shukurani zangu kwa wale wote walioniamini nakufanya nao Kazi mbarikiwe.
Shughuri zangu za udereva zinaendelea ikiwa tunaenda kufunga mwaka. Miongoni mwa huduma,.
1. Kuendesha familia,
2. Kuendesha mtu binafsi nje ya familia.
3. Kusafilisha magari, kutoka Dar kwenda mikoani.
4. Private car driving skills.
Hii, imejikita kuwafundisha watu gari kwenye mazingira yao ya nyumbani na mda wao.
Namna Kazi zinafanyika ni
Kwa saa/masaa/wiki/mwezi n.k
Gharama. Itategemea na huduma/Kazi
Mawasiliano
Call: 0627776134
Whatsapp: 0714016639
Email: jamesjoshuaem@gmail.com
🙏🙏