Prison life(Maisha ya gerezani)

Prison life(Maisha ya gerezani)

Clemence Mwandambo

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2018
Posts
1,384
Reaction score
1,438
Siku moja katika matembezi yangu mida ya Jioni wakati napita kandoni mwa barabara eneo la raundi about kama tulivyozoea kupaita hapa Mbeya mjini nikielekea maeneo ya Uzunguni, nilimuona kichaa Mzee akiwa na mkoba wake mchafumchafu.

Nilimsogelea mahali alipokuwa ameketi alinitazama kwa macho makali mpaka niliogopa. Wakati naanza kujihami ili niondoke aliniita akaniambia keti dogo wala usiogope.

Nilimsogelea, akaniambia dogo nikuambie kitu, nilimuitikia kwa kichwa nikiashiria kukubali. Akasema dogo you know this country is prison? Nikamuuliza why? Nikamsogelea zaidi. Akasema dogo hii nchi ni gereza, na mkuu wa nchi ni mkuu wa gereza, na wale wa chini yake ni manyapara, kwa hiyo usitegemee mkuu wa gereza kuleta maendeleo gerezani.

Kazi ya kuu wa gereza ni kudhibiti wafungwa, na sio kuleta maendeleo gerezani. Kipindi hicho kilikuwa kikwete akiwa rais wa nchi awamu ya kwanza. Akaniambia dogo hata gerezani kuna wafungwa wenye maisha nafuu na wengine maisha mabaya.

Mwisho akaniambia dogo hakuna nchi iliyowahi pata uhuru kwa amani, uhuru haupewi mezani, akabeba mkoba wake akasimama na kuniambia hii nchi ya malikia dogo. Bado TUKO chini ya mwingereza. Akaondoka na kuniacha NIKIWA nimeketi.
 
Siku moja katika matembezi yangu mida ya Jioni wakati napita kandoni mwa barabara eneo la raundi about kama tulivyozoea kupaita hapa Mbeya mjini nikielekea maeneo ya Uzunguni, nilimuona kichaa Mzee akiwa na mkoba wake mchafumchafu. Nilimsogelea mahali alipokuwa ameketi alinitazama kwa macho makali mpaka niliogopa. Wakati naanza kujihami ili niondoke aliniita akaniambia keti dogo wala usiogope.
Nilimsogelea, akaniambia dogo nikuambie kitu, nilimuitikia kwa kichwa nikiashiria kukubali. Akasema dogo you know this country is prison? Nikamuuliza why? Nikamsogelea zaidi. Akasema dogo hii nchi ni gereza, na mkuu wa nchi ni mkuu wa gereza, na wale wa chini yake ni manyapara, kwa hiyo usitegemee mkuu wa gereza kuleta maendeleo gerezani. Kazi ya kuu wa gereza ni kudhibiti wafungwa, na sio kuleta maendeleo gerezani. Kipindi hicho kilikuwa kikwete akiwa raisi wa nchi awamu ya kwanza. Akaniambia dogo hata gerezani kuna wafungwa wenye maisha nafuu na wengine maisha mabaya.
Mwisho akaniambia dogo hakuna nchi iliyowahi pata uhuru kwa amani, uhuru haupewi mezani, akabeba mkoba wake akasimama na kuniambia hii nchi ya malikia dogo. Bado TUKO chini ya mwingereza. Akaondoka na kuniacha NIKIWA nimeketi.
Whattt???? Inamaana inamaana wazungu walituchezea mchezo!?? Ooooooo my God!! Inawezekanaje mkuu hebu tujadili kidogo maana ni wazo jipya kichwani mwangu lakini naona ubongo wangu hautaki kuliachia kirahisi!!
 
ulilikuwa unaota au? maana nawasiwasi yasiwe majungu kwanjia ya tasfida japo kama tupo gerezani
 
Nipo raundiabauti ya mnara huu wa mwenge kuelekea hosp ya rufaa Mbeya namtafuta huyo mzee mchafu anipe hizo habari sitaondoka hapa mpk nimuone
 
Nipo raundiabauti ya mnara huu wa mwenge kuelekea hosp ya rufaa Mbeya namtafuta huyo mzee mchafu anipe hizo habari sitaondoka hapa mpk nimuone
Huyo Mzee alikuwa Mzee mmoja wa kinyakyusa hivi alikuwa anapenda kuvaa koti refu sijabahatika kumtia machoni mpaka sasa. Kama ni mwenyeji utamkumbuka au karibu kuulizia lakini nafikiri Nina miaka sasa sijabahatika kumuona. Pole
 
Siku moja katika matembezi yangu mida ya Jioni wakati napita kandoni mwa barabara eneo la raundi about kama tulivyozoea kupaita hapa Mbeya mjini nikielekea maeneo ya Uzunguni, nilimuona kichaa Mzee akiwa na mkoba wake mchafumchafu.

Nilimsogelea mahali alipokuwa ameketi alinitazama kwa macho makali mpaka niliogopa. Wakati naanza kujihami ili niondoke aliniita akaniambia keti dogo wala usiogope.

Nilimsogelea, akaniambia dogo nikuambie kitu, nilimuitikia kwa kichwa nikiashiria kukubali. Akasema dogo you know this country is prison? Nikamuuliza why? Nikamsogelea zaidi. Akasema dogo hii nchi ni gereza, na mkuu wa nchi ni mkuu wa gereza, na wale wa chini yake ni manyapara, kwa hiyo usitegemee mkuu wa gereza kuleta maendeleo gerezani.

Kazi ya kuu wa gereza ni kudhibiti wafungwa, na sio kuleta maendeleo gerezani. Kipindi hicho kilikuwa kikwete akiwa rais wa nchi awamu ya kwanza. Akaniambia dogo hata gerezani kuna wafungwa wenye maisha nafuu na wengine maisha mabaya.

Mwisho akaniambia dogo hakuna nchi iliyowahi pata uhuru kwa amani, uhuru haupewi mezani, akabeba mkoba wake akasimama na kuniambia hii nchi ya malikia dogo. Bado TUKO chini ya mwingereza. Akaondoka na kuniacha NIKIWA nimeketi.
Nimekusoma vizuri sana mkuu
 
Mh alikuambia tangu enzi za jk hujaisema hadi Leo.

Umepatwa Na nn ukakumbuka?
 
Huyo mzee nilikutana nae juzi akaniambia kijana hatimae tumetoka gerezani amini hivyo ikamuuliza mzee unamaanisha nini akaniambia hapa kazi tu akaniacha nimepigwa butwaa, ila saivi yupo smart
 
Siku moja katika matembezi yangu mida ya Jioni wakati napita kandoni mwa barabara eneo la raundi about kama tulivyozoea kupaita hapa Mbeya mjini nikielekea maeneo ya Uzunguni, nilimuona kichaa Mzee akiwa na mkoba wake mchafumchafu.

Nilimsogelea mahali alipokuwa ameketi alinitazama kwa macho makali mpaka niliogopa. Wakati naanza kujihami ili niondoke aliniita akaniambia keti dogo wala usiogope.

Nilimsogelea, akaniambia dogo nikuambie kitu, nilimuitikia kwa kichwa nikiashiria kukubali. Akasema dogo you know this country is prison? Nikamuuliza why? Nikamsogelea zaidi. Akasema dogo hii nchi ni gereza, na mkuu wa nchi ni mkuu wa gereza, na wale wa chini yake ni manyapara, kwa hiyo usitegemee mkuu wa gereza kuleta maendeleo gerezani.

Kazi ya kuu wa gereza ni kudhibiti wafungwa, na sio kuleta maendeleo gerezani. Kipindi hicho kilikuwa kikwete akiwa rais wa nchi awamu ya kwanza. Akaniambia dogo hata gerezani kuna wafungwa wenye maisha nafuu na wengine maisha mabaya.

Mwisho akaniambia dogo hakuna nchi iliyowahi pata uhuru kwa amani, uhuru haupewi mezani, akabeba mkoba wake akasimama na kuniambia hii nchi ya malikia dogo. Bado TUKO chini ya mwingereza. Akaondoka na kuniacha NIKIWA nimeketi.
Nyie watu wa Mbeya Rais wenu si Sugu au mlimpindua mkamuingiza mwingine?
 
Siku moja katika matembezi yangu mida ya Jioni wakati napita kandoni mwa barabara eneo la raundi about kama tulivyozoea kupaita hapa Mbeya mjini nikielekea maeneo ya Uzunguni, nilimuona kichaa Mzee akiwa na mkoba wake mchafumchafu.

Nilimsogelea mahali alipokuwa ameketi alinitazama kwa macho makali mpaka niliogopa. Wakati naanza kujihami ili niondoke aliniita akaniambia keti dogo wala usiogope.

Nilimsogelea, akaniambia dogo nikuambie kitu, nilimuitikia kwa kichwa nikiashiria kukubali. Akasema dogo you know this country is prison? Nikamuuliza why? Nikamsogelea zaidi. Akasema dogo hii nchi ni gereza, na mkuu wa nchi ni mkuu wa gereza, na wale wa chini yake ni manyapara, kwa hiyo usitegemee mkuu wa gereza kuleta maendeleo gerezani.

Kazi ya kuu wa gereza ni kudhibiti wafungwa, na sio kuleta maendeleo gerezani. Kipindi hicho kilikuwa kikwete akiwa rais wa nchi awamu ya kwanza. Akaniambia dogo hata gerezani kuna wafungwa wenye maisha nafuu na wengine maisha mabaya.

Mwisho akaniambia dogo hakuna nchi iliyowahi pata uhuru kwa amani, uhuru haupewi mezani, akabeba mkoba wake akasimama na kuniambia hii nchi ya malikia dogo. Bado TUKO chini ya mwingereza. Akaondoka na kuniacha NIKIWA nimeketi.
pole mkuu jamaa amewashika henyani mpaka mnatafuta ushauri kwa vichaa!
 
This is a mental case; siwezi amini kuwa tumeshaanza changia mada za vichaa.

Anyways sote tupo sawa mbele ya sheria.
 
Huyo mzee nilikutana nae juzi akaniambia kijana hatimae tumetoka gerezani amini hivyo ikamuuliza mzee unamaanisha nini akaniambia hapa kazi tu akaniacha nimepigwa butwaa, ila saivi yupo smart
Tatizo tafsiri zetu watanzania zinatupeleka kwenye vyama, siku tukiondokana na vyama nitafurahi SANA inawezekana tutaanza kuwaza kama Watanzania.
 
This is a mental case; siwezi amini kuwa tumeshaanza changia mada za vichaa.

Anyways sote tupo sawa mbele ya sheria.
Sikumaanisha uchangie mada ndugu, ila nataka nikuambie Jambo moja, Vichaa wanao ujumbe. Kinachotunsumbua sisi ni wepesi wa kutafsiri Jambo na kukufanya maamuzi, na hichi ndicho kitakachoangamiza TAIFA letu.
 
This is a mental case; siwezi amini kuwa tumeshaanza changia mada za vichaa.

Anyways sote tupo sawa mbele ya sheria.
Mkuu aina ya stroke uliyoipata wewe ni locked-in syndrome kabisa
 
R
Nyie watu wa Mbeya Rais wenu si Sugu au mlimpindua mkamuingiza mwingine?
Raisi wangu ni MAGUFULI ndugu usinitafutie maraisi wengine, nilichokiandika ni kikubwa, ungechukia muda kufikiri na kuondoka kwenye IMANI potofu za kivyama ingekusaidia.
 
Back
Top Bottom