Primi Mushi aendelea kudhulumu familia ya Bigwa

LDA COMPANY

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
303
571
Primi Mushi amechukua kwa nguvu nyumba ya familia ya Bigwa iliopo Mugabe njia panda ya kwenda Mawasiliano kulia ukitokea Shekilango yenye fremu wanauza nguo na kuwapa mikataba mipya wapangaji wote, waliogoma wameondolewa na mabaunsa akidai hela yake kwamba gorofa la K/Koo halijatosha kufidia pesa zake ni baada ya kuita na kubandika kibao kwenye gorofa la /Koo kuwa Mkomilo tower nahisi ni kijiji anachotoka huko Kibosho huku akitaka kuanza ujenzi kwenye kiwanja cha Kipata na Myamwezi ujenzi wa gorofa huku kesi ikiwa mahakamani

Walalamikaji hawana la kumfanya hapo hapo Mugabe kama unaenda mawasiliano kwenye mataa kona upande wa kushoto ukitokea Shekilango anajenga gorofa tatu kwenda juu kuna uzio wa mabati.

Je, huyu jamaa ameshindikana kabisa? Tunaomba Serikali kuingilia kati kuepusha Serikali kuchafuka.
 
Kuna kitu unaficha. Eleza vizuri ili wote tuelewe..

Mtu hawezi kuja ghafla tu na kupora nyumba ya mwingine.. sio rahisi hivyo
wewe unawajua g7 mkuu kundi la wachagga wafanyabiashara wakubwa k/koo ndio wanampa kiburi mkuu hawa jamaa wameanza kama cha kusaidiana lilkn sasa ili uingie ada ni million zaidi ya hamsini wanalinda san mkuu kupeana diliza
 
Wewe ni kilaza na hujielewi.
Acheni kukopa hovyo, wewe unajua hizo pesa alizokukopesha alitoa wapi.
Pambana na hali zenu.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Primi Mushi amechukua kwa nguvu nyumba ya familia ya Bigwa iliopo Mugabe njia panda ya kwenda Mawasiliano kulia ukitokea Shekilango yenye fremu wanauza nguo na kuwapa mikataba mipya wapangaji wote, waliogoma wameondolewa na mabaunsa akidai hela yake kwamba gorofa la K/Koo halijatosha kufidia pesa zake ni baada ya kuita na kubandika kibao kwenye gorofa la /Koo kuwa Mkomilo tower nahisi ni kijiji anachotoka huko Kibosho huku akitaka kuanza ujenzi kwenye kiwanja cha Kipata na Myamwezi ujenzi wa gorofa huku kesi ikiwa mahakamani

Walalamikaji hawana la kumfanya hapo hapo Mugabe kama unaenda mawasiliano kwenye mataa kona upande wa kushoto ukitokea Shekilango anajenga gorofa tatu kwenda juu kuna uzio wa mabati.

Je, huyu jamaa ameshindikana kabisa? Tunaomba Serikali kuingilia kati kuepusha Serikali kuchafuka.
Mtu anaporaje nyumba fafanua
 
Back
Top Bottom