Usanii tu watu wanatafuta kiki za kisiasa wakishirikiana na hawa wcb walioanza kupoteza umaarufu nchini hizi ni mbinu zakutaka kurudi maskioni mwawatu.kila nyimbo wanazotoa zinabuma walijaribu kutoa video walioshirikiana na yule mmarekani imebuma izi ni mbinu chafu tu