VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,800
Siku hizi tuwe makini.Mwana-CCM yeyote akisema atakuwa na Press Conference tufikiri mara mbilimbili kwenda au kufuatilia. Hawa watu wamechoka na wanatuchezea. Sumaye ndio kasema nini? Kigwangalla yuko wapi? CCM wanadhani kuwa kuchezea akili za watu ni kuwapumbaza na kuwakwamisha wasifanye mambo yao ya maana,ni jambo jema.
Washindwe na wakafe kabisa! Kama wanataka,wawe wanatupa nakala za kauli zao kabla ili tupime na kuamua kwenda au la. Pale kitatupeleka kuangalia sura ya Mtoa Kauli na maneno yake ya nyongeza. Hawa watu wanatuona sisi Mapimbi.Naamini wana-CCM watatufanye turoge,tuue,tutusi,tunune na tutende yasiyo mema...
Washindwe na wakafe kabisa! Kama wanataka,wawe wanatupa nakala za kauli zao kabla ili tupime na kuamua kwenda au la. Pale kitatupeleka kuangalia sura ya Mtoa Kauli na maneno yake ya nyongeza. Hawa watu wanatuona sisi Mapimbi.Naamini wana-CCM watatufanye turoge,tuue,tutusi,tunune na tutende yasiyo mema...