Hapo kwenye muda mkuu ndio palinitatiza si unajua sisi huku Kilindi saa hizi inakaribia kabisa saa 4 asubuhi nikajua nimeshapitwaa...! Ahsanteni kwa taarifa ila msisahau muda huo ukifika mumwambie Yericko awahi kama alivyowahi Mahakamani
Hii ya Mabere hata mimi siwezi amini maana huyu jamaa ni mwanamageuzi hata kabla hayajawa rasmi hapa TZ. Hawezi kukubaluana na ujinga wa kina Zitto tamaa
Wakuu tunawaletea habari za moja kwa moja kutoka makao makuu chadema mkutano na waandishi wa habari, maandalizi yanaendelea hapa ukumbini makanda wanaeendelea kujongea.....stay tuned....
Habari njema hapa Iramba kwa kuwa wanazi wengi wamehuzunishwa sana! Kweli ya Kaisari mwachie Kaisari...,
Ndio basi CDM Iramba lol..... Mkuu Mpumaminyongo utakuwa umelazwa sasa hapo Kinampanda pole kwa msiba mkubwa! Najua ulifanya kazi kubwa na Kitila sasa pole sana!