Ben Saanane anawatisha wajinga kama wewe usiosoma, mwenyewe nasoma pia.. Tatizo la ben ni kubwa kuliko Zitto, mimi nimemstudy sana huyu kijana he is so ambitious, alafu sio mtu wa kunegotiate, ni more of activists na hana sifa ya kuongoza watu wenye mawazo tofauti atawaua..hana tofauti na godfather wake mboe, na ukitaka kujua ben ni mtu hatari eti role model wake ni valdmir putin na kim jong lee