Jaman hivi hizi dawa za PrEP = Pre Exposure Prophylaxis na PEP = Post Exposure Prophylaxis
zinapatikana hapa tanzania?
kwa anaejua naomba anielekeze zinapatikana wapi.
nna hitaji tu kujua haimaanishi kwamba ni HIV exposure
zinapatikana sana kwenye angaza na vituo vya kutolea dawa za ARV.......wengine wanadai ni "Niverapin" but am not sure.......dose yake ni 28 days 1×1.....usiku unapotaka kulala
Jaman hivi hizi dawa za PrEP = Pre Exposure Prophylaxis na PEP = Post Exposure Prophylaxis
zinapatikana hapa tanzania?
kwa anaejua naomba anielekeze zinapatikana wapi.
nna hitaji tu kujua haimaanishi kwamba ni HIV exposure
zinapatikana sana kwenye angaza na vituo vya kutolea dawa za ARV.......wengine wanadai ni "Niverapin" but am not sure.......dose yake ni 28 days 1×1.....usiku unapotaka kulala