Precision bure kabisa, Fast Jet ongezeni ndege Jamani,

Precision bure kabisa, Fast Jet ongezeni ndege Jamani,

kyanaKyoMuhaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
1,952
Reaction score
939
Nipo airport, wametubeba walipotutoa, tumefika tumepanga foleni ya ku check in, nilikuwa mtu kama wa 10 hivi, wanabaki watu wawili, tunaambiwa, tusubiri na hawataki kutuambia tuaondoka saa ngapi kwani muda wa ndege yetukuondoka unakaribia, wanaita watu wa Nairobi. Baadae wanatuarifu Jamani ndege imejaa, kuna ndege ilikuwa cancelled asubuhi, ndio tunajazia jazia. Foolish airline. Nimenuna hapa nilipo nataka na kupasuka wa kupigana nae simuoni. Bahati yao ndege ya Fast Jet ni ya usiku.
 
pole sana ndo hivyo ndege zetu uswahili tu yakubidi uvumilie utasafiri na ndege ya usiku
 
Lachicaguapa can you imagine? Bado nang'aaa macho airport. Jinga kabisa!
 
Ndo zao hao! Mara nying flights za weekend matatizo ya overbooking yanajitokeza! Usijeshangaa utakapofika destination yako, ukataarifiwa kuwa checked baggage yako italetwa kesho!
 
Ndo zao hao! Mara nying flights za weekend matatizo ya overbooking yanajitokeza! Usijeshangaa utakapofika destination yako, ukataarifiwa kuwa checked baggage yako italetwa kesho!

Nawafuata niwataadharishe mzigo wangu ukibaki, itabidi watafute nyumbani kwangu waniletee. Sitaki kabisa kuwa na mawasiliano na kampuni hii inayoitwa precision. Wanisahau kabisa.
 
Shosti si nilikuambia lakini, ukang'ang'ana na Huyo precious....siku hizi ukitaka roho yako isichafuke panda tu fastJ..werawera....
 
Na bado...usishangae unaambiwa...ndege mbovu upande ya asubuhi... Yani na kwambia Leo utalala airport na kulivyo na baridi....

niko Zanzibar hata vinywaji vyao tumesusa wamekunywa wazungu tu waliokuwa wanakuja Zenj. Lakini naitwa ahi Connection ya KLM usiku. Nikifika Dar sijui?
 
niko Zanzibar hata vinywaji vyao tumesusa wamekunywa wazungu tu waliokuwa wanakuja Zenj. Lakini naitwa ahi Connection ya KLM usiku. Nikifika Dar sijui?

Mkuu, pole sana.
naomba updates ya ulipofikia, ama walipofikia wao. ina maana flight uliyotaka ni kutoka Zanzibar kuja JNIA ama?
 
Nimepanda ndege yao moja, ina joto kama nini? yaani hawa precision kuna siku watatumaliza
 
Nimepanda ndege yao moja, ina joto kama nini? yaani hawa precision kuna siku watatumaliza

Bora wewe joto sasa sisi siku hiyo ndege ili kuwa inanukia electricity alafu badala ya baridi joto likawa Ndio linazidi, ndege Ndio ili kuwa inataka kufly ilibidi waisimamishe katikati ya uwanja... Tukashuka....sitosahau siku ile... Baadae tukaambiwa turudi yakawa yaleyale basi wakachekchek then ...... everything alright! Na kwambia mkuu airhostess alituelekeza kutumia maboya kwa ufanisi kuliko mwanzo! Ndege ilikuwa kimya mpaka tulipofika....na siku hiyo nadhani waliuza vinywaji vikali kuliko siku zote......
 
Mungu atuepushe na ninataka kuyafikiria....
Bora wewe joto sasa sisi siku hiyo ndege ili kuwa inanukia electricity alafu badala ya baridi joto likawa Ndio linazidi, ndege Ndio ili kuwa inataka kufly ilibidi waisimamishe katikati ya uwanja... Tukashuka....sitosahau siku ile... Baadae tukaambiwa turudi yakawa yaleyale basi wakachekchek then ...... everything alright! Na kwambia mkuu airhostess alituelekeza kutumia maboya kwa ufanisi kuliko mwanzo! Ndege ilikuwa kimya mpaka tulipofika....na siku hiyo nadhani waliuza vinywaji vikali kuliko siku zote......
 
Mkuu, pole sana.
naomba updates ya ulipofikia, ama walipofikia wao. ina maana flight uliyotaka ni kutoka Zanzibar kuja JNIA ama?

Sasa hivi niko Amsterdam Netherlands ni saa 8.58 mchana. Jana ilikuwa safari ya kuja Dar Straight na muda wa safari ulikuwa saa 1.10 na safari ianze saa 10 .10 jioni na kufika Dar saa 11.20 jioni.

Kilichotokea Tulianza safari saa 11.30 jioni tukaenda Zanzibar kwa muda wa 1.20,tukakakaa Dakika 20, kwa kifupi mpaka nachukua mzigo wangu ilikuwa saa 2.30 usiku. Cha kuchekesha wale waliowahi wakaondoka na ndege ya saa 10.10 tuliwakuta airport wanasubiri mizigo yao kwenye ndege yetu, mpaka naondoka kuna wengine mizigo yao walikuwa hawajaipata.
 
Mungu atuepushe na ninataka kuyafikiria....

Yaani kutoka Zanzibar, sijui kama ni kawaida tuliambiwa safari ya Dakika 20 naona Jamaa ndege kama aliipeleka Mombasa halafu tukaja tunaambaa ambaa, maana ilikuwa kila nikiona mji Najua tumefika, wapi bwana nimeona Miji kama mitatu au tulikuwa tunazungushwa tunatoka halafu tunarudi. Kwa kifupi Pecision sina hamu nao.
 
Back
Top Bottom