Precision air maji shingoni

Siamini hadi itakaporipotiwa na vyombo vya habari. This source is very unreliable. Kashindwa kujieleza vizuri nahisi katumwa kuandika hii thread. A PR stint, it happens.
 
Kwanza
Boeing zimekamatwa,JNIA ziko grounded mpaka zilipe pesa nyingi tu. watoa huduma wote ikiwapo wakodisha ndege pamoja na huduma zingine na ndege nyingi zilisongiziwa kua mpya zote zinadaiwa na mabenki. Route nyingi zimeshasisitishwa Comoro inasuasua,kigoma chali,arusha bye bye.

First Rule in business, lipa kwa tabu, dai kwa nguvu zote, kuna ajabu gani kudaiwa na bank na watoa huduma? Uko kwenye pay slip au biashara ndugu?
 
Ndege za kamatwa na kushindwa kuruka madeni,kioko awakimbia awaacha katika hali taabani. Wafanyakazi walipwa nusu mshahara,waanza kupunguza route,wameshidwa kutoa huduma nafuu kwa wananchi. Wajaribu kuididimiza fastjet lakini wakwama,kiasi kwamba wadaiwa kila kona madeni yasiyo lipika. Wapo katika hatua ya kujikabidhi serikalini na walijaribu kuihujumu na kuisumbua air tanzania,hapo awali kwa mafanikio ya kutosha. Sasa wakwama kuihujumu fastjet na fastjet yaendelea kupaa kwakuwapatia watanzania huduma bora na zenye bei nafuu.

Amerudi zake Kenya huyo jamaa.

Aisee Precision ni kimeo balaa juzi kutoka Mwanza safari ya saa saba mchana iliondoka saa nne usiku!!!!

Bora ije Fastjet nyingine ushindani uongezeke na hii Precision ife kabisa!
 
Jeikei anaua nchi kampuni nyingi sasa zipo ICU zinaemea pua moja sio P.A nyingi tu zipo tahabani.
Handsome Boy huku anahusikaje tena.
 
mkuu umeleta mada ya kizembe kabisa na umeuvaa kabisa uhalisia wa watanzania wengi kwa namna ulivyoleta hiyo mada ya kijinga kabisa unajua precision air ni ya nani sasa hivi? au unaongea tu owner wa precision alishauza baadhi ya hisa kwanza aliwauzia kidogo kenya airways halafu akaja kwa watanzania tena wananchi walizinunua kwa wingi kweli leo hii unavyofurahia kwa wivu wa kike kuwa chali ujue hata huyo ndugu yako alienunua hisa vihela vyake vyote vitaenda, badala ya kuwa support wewe unawarudisha nyuma kwa kuwazomea tutaendelea lini? unazungumzia air tanzania unaweza kuniambia shirika gani lililobaki la serikali linalofanya vizuri au yote yamehujumiwa na precision air? shirika la reli, tanesco, TTcl,na mengine kibao yanafanya vibaya? ina maana precision ndio ilimuambia kikwete amchague lile libaba linalopenda wababa wenzake ili afilisi hiyo air Tanzania? acheni tuwe na mawazo ya kujenga na sio kuzomea na kufurahia watu wakikosea ni vizuri kuwarekebisha kwa kutoa ushauri na sio kukaa pembeni na kusema ngoja tuone, akiangua mnafurahia ujinga huu,
 
Wafe tuu hawa chini ya Mramba ndo wali engineer ATC ife.
Sasa ni zamu yao what goes around.....................

Na pia bei zao kama wakipona kufutika kwenye hii biashara washushe ulimwengu wa sasa kupanda NDEGE sio anasa
 
aisee ni kweli mtupu Tbc habari za biashara wameonesha ofisi za precision air zenji zimepigwa pini, wanadaiwa dola laki moja km kodi na sasa wamefungiwa kutoa huduma zenji. Hii kampuni naona inaelekea shimoni. Zile pesa zetu za hisa wamepeleka wapi?
 
ss
Amerudi zake Kenya huyo jamaa.

Aisee Precision ni kimeo balaa juzi kutoka Mwanza safari ya saa saba mchana iliondoka saa nne usiku!!!!

Bora ije Fastjet nyingine ushindani uongezeke na hii Precision ife kabisa!
Kwani si ilianzishwa kwa fedha waliyokwapua kina Mramba na Yona serikalini kwa lengo la kuiua Air Tanzania?
Shirika hili ni mahiri kwa fitna, liliiuwa Community Airlines, likaiua Air Tanzania na 'kufufuliwa' na serikali mara kadhaa na lina mkono wa mafisadi, wezi na vibaka waliosheheni serikalini.
Mwisho wa uhai wao ni baada ya CCM kupigwa chini.
 
Habari haijatulia. Ndege zimekamatwa wapi? Wanadaiwa na nani? Ruti gani zimepunguzwa?
Mkuu huyo jamaa ana usongo na Precision, mbona huduma zao poa tu na ushindani si kitu kibaya ni jambo la kawaida kabisa.Mimi nimepanda ndrge hizo over the week end na sikuona alichokiongelea huyu jamaa.
 
inawezekana ni kweli sababu leo ile trip ya mbagala - mwenge haikuwepo kabisa
 
Ndege za kamatwa na kushindwa kuruka madeni,kioko awakimbia awaacha katika hali taabani. Wafanyakazi walipwa nusu mshahara,waanza kupunguza route,wameshidwa kutoa huduma nafuu kwa wananchi. Wajaribu kuididimiza fastjet lakini wakwama,kiasi kwamba wadaiwa kila kona madeni yasiyo lipika. Wapo katika hatua ya kujikabidhi serikalini na walijaribu kuihujumu na kuisumbua air tanzania,hapo awali kwa mafanikio ya kutosha. Sasa wakwama kuihujumu fastjet na fastjet yaendelea kupaa kwakuwapatia watanzania huduma bora na zenye bei nafuu.

Habari ni very interesting, tatizo kwa reporter ndo una haraka hadi unaapoteza maana!
 
hii story siielewi kama ambavyo sielewi ni kwa nini TANESCO wana record loss ilhali ni wenyewe wanao uza umeme tanzania! I cant understand.
Vp ndugu yangu unataka kuniliza!maana katika biashara inayoniuma roho nchi hii ni hii ya umeme!peke yao ,hawana mpinzani ,wateja kibao, bei wanajipangia,wateja lazima watumie na lazima walipe tena wakichelewa na penalti juu,wateja wengine wana lalamika bidhaa haitoshi yaani soko pana kuliko maelezo kama sisimizi na uwanja wa mpira-lakini mwisho wa siku wanadai LOSS!
 
Back
Top Bottom