Cosmasjulius
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 695
- 1,014
Kitu gani zaidi ya msulii mzitoooKibaha sec
Ifakara sec
Kibiti sec &
Kilosa sec kuna kitu flan cha tofaut kwenye hz shule , anayejua anyooshe kidole nimpe pipi
haaa ha...noma sanaNgoja tuwaachie nyie wa vipaji maalumu!
Nakumbuka miaka hiyo bro alivochaguliwa kwenda kibaha stori zilienea karibu wilaya nzima
Hahahaha mzee Kayenga huyoo..dahNakumbuka head master mmoja alikuwa anatwambia wanafunzi tunavuta kulebi na kula bangi haha precious kibaha nakumbuka mkichoka kupiga misuli mnaenda mwana lugaliiiiiiiiiiiii hongera kwao vijana
Nilimkimbia bwenini kwake hahaaaaa kaselenge hivi mnamkumbukaKuna ticha mmoja anaitwa Cash-baba, mngese sana yule jamaa.....ila nmemiss mihogo ya mwanalugali na yule mama nyandingo
Uncuth....yulee mzee alikuwa na English imenyooka balaaaNilimkimbia bwenini kwake hahaaaaa kaselenge hivi mnamkumbuka
Mwanalugali kulaa mihogoo siku ya ugali hasaaNakumbuka head master mmoja alikuwa anatwambia wanafunzi tunavuta kulebi na kula bangi haha precious kibaha nakumbuka mkichoka kupiga misuli mnaenda mwana lugaliiiiiiiiiiiii hongera kwao vijana
Kayenga alikuwa mstaarabu Sana...anakwambia vijanaa mnavuutaaa bhangiii mwanalugali...Hahahaha mzee Kayenga huyoo..dah
kumbe kaka yko ndo yule fund viatu maaruf .... au story zafananaNgoja tuwaachie nyie wa vipaji maalumu!
Nakumbuka miaka hiyo bro alivochaguliwa kwenda kibaha stori zilienea karibu wilaya nzima
enzi hizo alikuwa mwl wa taaluma alikuwa mzee wa sheria sana lol, Mwaipaja akiwa mkuu wa shule.Hahahaha mzee Kayenga huyoo..dah