prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 190
Sijui ntawahi, asubuhi uhamiaji, Saa 8.30 PPF. Mungu nijarie
chagua mmoja mkuu, ukifanya rasha rasha utakosa pote. You better concetrate on the side where there is great chance to win.
Sijui ntawahi, asubuhi uhamiaji, Saa 8.30 PPF. Mungu nijarie
Hii mijamaa imenipigia simu saa moja jioni reo eti inaniambia kesho saa nane muchana niende ucc udsm nikafanye intavyuuuu wakati mi nipo kigoma,nikamwambia aliyenipigia kama mtanirudishia nauri ya ndege nakuja akaniretea rongorongo zake za daslam,na sikuji,kira ra heri mtakaokwenda
chagua mmoja. mkuu ukifanya rasha rasha utakosa pote. you better concetrate on the side where there is great chance to. win
Wandugu wapendwa naona hamna ufahamu wa maana ya amplitude test.Ni hivi hiyo ni test ya kuangalia uwezo wako wa kufikiria hivyo ni nje kabisa ya ulichokisoma darasani.Huwa inakuwa na hesabu za hapa na pale ila lengo sio kutest ujuzi wa hesabu ila ni uelewa na kufikiria.Na hakuna madesa maana amplitude questions zipo nyingi sana
we acha mm nimepigiwa saa 2 bahati nipo dar, pole ndugu yangu
Sijui ntawahi, asubuhi uhamiaji, Saa 8.30 PPF. Mungu nijarie
Bahati mbaya mimi sio mtafuta kazi,ila ingekuwa poa ukaniambia nilipo kosea ili nijifunze mkuuKwa uandishi huu ukipata kazi nakupa hela.
Wandugu embu nielezeni
vizuri nimeitwa pia ila kwa tarehe 18 baada ya kubagain.0763934777. Nipo
arusha ningependa nipate update.
Wandugu wapendwa naona
hamna ufahamu wa maana ya amplitude test.Ni hivi hiyo ni test ya
kuangalia uwezo wako wa kufikiria hivyo ni nje kabisa ya ulichokisoma
darasani.Huwa inakuwa na hesabu za hapa na pale ila lengo sio kutest
ujuzi wa hesabu ila ni uelewa na kufikiria.Na hakuna madesa maana
amplitude questions zipo nyingi sana
Itakua huko nami nlishawahi kuifanya Aptitude yao flani hata post nimeisahau ila ni uzushi mtupu mnakuta maswali 50 katika Desk top zao wana UCC uyajibu kwa dakika 15 na kila ukijibu ndio linakuja lingine na lazima uwe fasta sana bila hivyo huwezi kumaliza!!!Hi ndugu zangu, mi mgeni hapa dar, nami nimeitwa wameniambia UCC je ni wapi? Ni kule chuo kikuu mlimani au? Asanteni
50 questions in 15 minutes?that mean 0.8 seconds per question.mh this is strange and shocking but any way let me go and do it with confidence,