Hii mijamaa imenipigia simu saa moja jioni reo eti inaniambia kesho saa nane muchana niende ucc udsm nikafanye intavyuuuu wakati mi nipo kigoma,nikamwambia aliyenipigia kama mtanirudishia nauri ya ndege nakuja akaniretea rongorongo zake za daslam,na sikuji,kira ra heri mtakaokwenda