PPF wameita interview

soma executorship,bankrupty, directorship,Soma IFRS 13 (ni mpya hii). NA jitahidi kusoma contemporary issues ukipata muda.
KUWa serious zaidi na aptitude test ndio wanatoa
 
Wameniambia ni saa tano na nusu asubuhi, vp wewe wamekuambiaje?
 
shukran ndugu yetu

kiukweli kabisa toka moyoni, test yao ni ngumu balaa nilifanya ya operation trainee pale ucc kila mtu anatumia computer yake kwa dakika 15 maswali ni 50. Wala usijisumbue kusoma tu wala madesa ni maswali ya uelewa lakini kwa muda unaopewa kiukweli may be genious, ni hivyo tu
 
jamani hawa jamaa wanauliza maswali gani kwa wale ambao mshafanya? thnkx in advance
 
Post ziko ngapi?au ndio wameita kila aliyetuma CV.
 
aliyeitwa yeyote humu ndani aandike namba yake ya simu hapo nimtafute kwa msaada
 
nami nimeitwa ndugu, sijajua maswali gani, ila nakuomba msaada huu ukumbi wa UCC upo sehemu gani? maana mie kwa kweli ni mgeni dar

mi nakufahamu tuwasiliane tu na nilisoma hapo ucc,call 0717400039 nitakuelekeza.
 
Hii mijamaa imenipigia simu saa moja jioni reo eti inaniambia kesho saa nane muchana niende ucc udsm nikafanye intavyuuuu wakati mi nipo kigoma,nikamwambia aliyenipigia kama mtanirudishia nauri ya ndege nakuja akaniretea rongorongo zake za daslam,na sikuji,kira ra heri mtakaokwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…