PPF ni hatari kwa watanzania

Mahweso

JF-Expert Member
Jan 10, 2014
1,098
1,501
Huu mfuko ya faa uchunguzwe kwa makini, Unaibia watu kwa kushirikiana na waajiri.

Utakuta Mtu analipwa 500,000 lakini utakuta kaandikiwa 150,000 ili kumlinda Mwajiri asitoe hela nyingi, yeye ananufaika na Rushwa anachukua kwa mwajiri,

Kingine Waajiri hawapeleki Pesa kila mwezi, siku ya mwisho wa Ajira PPF wanamwajiza Mwajiriwa kufuatiria Pesa zake kwa Mwajiri, utazungushwa mpaka utakoma na kusamehe. waajiri wengine wanatoa lakini si ya Michango ya Wote bali atakupa mchango wako tu uliokuwa unachangia,

Serikali fuatilieni hili hasa Secta binafsi ndiko kuna huu Mchezo.
 
Naomba kuuliza ivi fao la kujitoa hawa PPF wanatoa? Nataka nikakombe mpunga wangu kwa sababu kibarua kimeota majani hakika tutaisoma namba
 
Ni kweli kabisa wastaafu ATCL wanalilia mafao yao PPF wengine toka mwaka 2010 hadi leo wamelipwa kidogo huku wakipigwa dana dana kati ya PPF, ATCL, WIZARA YA FEDHA na WIZARA ya UJENZI, UCHUKUZI na MAWASILIANO. Hebu raisi ingilia kati hawa wazee wapate haki zao. PPF wanadhulumu haki za kisheria na kupeleka pesa za wachangiaji kwenye miradi ili wasiondolewe madarakani.
 
Hadi najuta sijui kwanini nilijiunga PPF hivi nikihama hela zangu nazo zinahamishwa kunifata Mimi kwenye Mfuko mwingine
 
Nmekuja Mbio Nlivoona PPF Nkajua Ni Ile Ya Sindano! Nkagundua Kumbe Hapa Co Jf Doctor. Samahan Jama Natoka....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom