"Mbaya" ni general term,kwamba haaminiki au vipi?
Mbaya kwa maana ya matendo yake au tabia zake..
Well,tukirudi kwa yule mzee mwenye hekima alivo kuwa akiwa define wenzake
ni kwamba ume muona ana tabia mbaya,say mwizi,au haaminiki kwa sababu
na wewe sio mwaminifu,..
Waswahili wana msemo kwamba "mchawi mpe mtoto akulelee"
unadhani hawaogopi kulogewa mtoto?
Kuna nguvu katika kumwamini mtu,yawezekana hajawahi kuaminiwa
ndo maana anafanya anayo fanya,lakini kama akipata bahati ya kupata
mtu wa kumwamini ata toa all the goodness out of him/her ili ku-prove
watu wrong.
Mara nyingi kuamini mtu ama kutokumuamini kunatokana na mtu mwenyewe pamoja na matendo yake.
Ukiniambia huyu mtu ni kibaka na nikaona matendo yake ya ukibaka sidhani kama kutakuwa na haja ya kumpa hiyo nafasi ili a prove watu wrong, to me he will simply be a Kibaka..
Baada ya kusema hayo, bado nasimamia kwenye pointi yangu kuwa kumuona mtu ni mbaya kisha kusema huyu mtu ni mbaya ni makosa..
Manake Ubaya unabeba maana pana sana, hata walimu wakali mashuleni huwa ni wabaya kwa wanafunzi watukutu.
Nimependa mtazamo wako Speaker.... I have read the story before (in fact I do have the book ina short Moral Stories); Mimi nilichokipata hapo ni kua Mwanadamu hufafanua mwadamu Mwenzie tokana na kile ambacho anakua anavutiwa ku observe no matter ni matendo yepi huyo mwanadamu hufanya zaidi. In other words huyo Mgeni inaonesha yeye huangalia the bad side ya wanadamu wenzake kuliko the good side... Na hio ndio hutumia kutoa tafsiri ya hao watu.
Hivo huyo Mzee alitambua kua huyo mgeni hata katika hio jamii ataona ubaya tu na sio uzuri wa hio jamii... For ni wazi Mzee alikua na busara ya kutambua hakuna jamii ambayo ni completely good ama completely bad.
Mi sikubaliani ha huyo mzee. Namuona kama amesimplify mambo sana.
Ingekua tunaona mapungufu yetu kila tunapokaa na watu
Basi tungeshindwa kujifunza kwa kupitia mifano.
Mimi najua mi ni mbishi (ni mfano tu), na naamini baba sio mbishi,
so I learn from him to improve on myself
Ingekua naona watu kama nilivo mimi ningemuona baba mbishi
na ningeshindwa kujifunza toka kwake.
So to some extent tunajua mapungufu yetu na tunakubali kua watu wengine wako bora/worse.
mi sitaki kuangalia wengine wameanzaje kusema nisije nikasahau,SPIKA,mm kwenye swala la kumwamin mtu hapo nipo tofaut kidogo...kwasababu ukitaka kuumizwa si rafiki,ndugu au jamaa fanya kosa la kumwamin UTALIA..mi naona cha msingi si kuamn mtu ila mchukulie km alivyo kwa ulinzi wako mwenyewe,binadamu wamegeuka wanyama wakal sikuizi,tunamalizana wenyewe kwa wenyewe kwa tiket ya uaminifu.
Kila mtu yupo tofauti kwa namna yake.
Kuna watu nawaona wana matendo mazuri zaidi yangu na wengine nawaona wana mabaya zaidi yangu. Jinsi nilivyo haimaanishi na wengine nawaona hivyo hvyo.
Well,jinsi ulivyo inaelezea unavo waona wengine.
Kuna sehemu una matendo mazuri yanapelekea kuona mazuri ya wenzako kwa
undani zaidi.
Kuna muda una matendo mabaya,yanapelekea kuona mabaya ya wenzako.
kwahiyo kama nina matendo mabaya ila wenzangu wana matendo mazuri bado nitaona mabaya yao tu?