Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Mabingwa wa Zambia power Dynamo wasema kwa hapa Tanzania hakuna timu ambayo wanaiogopa kukutana nayo kama Yanga
Ila kwakuwa wamebahatika kukutana na Simba .......basi Simba wajiandae kichapo.....maana watapigwa tu
NB: Nini maoni Yako kwenye hili
Ila kwakuwa wamebahatika kukutana na Simba .......basi Simba wajiandae kichapo.....maana watapigwa tu
NB: Nini maoni Yako kwenye hili