Power bank

Power bank

ANNAFRY

Member
Joined
Aug 9, 2014
Posts
13
Reaction score
2
power bank zenyew ni hizi jamani pia zina uwezo wa kuchaji simu hadi tano kwa mara moja.
 

Attachments

  • 1410092467414.jpg
    1410092467414.jpg
    60.4 KB · Views: 271
  • 1410092481714.jpg
    1410092481714.jpg
    43 KB · Views: 251
  • 1410092501957.jpg
    1410092501957.jpg
    44.9 KB · Views: 241
  • 1410092556656.jpg
    1410092556656.jpg
    31.7 KB · Views: 240
  • 1410092660566.jpg
    1410092660566.jpg
    53.6 KB · Views: 230
  • 1410092695273.jpg
    1410092695273.jpg
    57 KB · Views: 239
Na zenyewe znachajiwa au? Km hazichajiw zina uwezo wa kuishi muda gani?
 
Mi yangu imeanza kuchaji simu yangu tu.
 
hii.una ichaji kwanza then unakuwa nayo. na bei ya jumla ni sh 35000 kuanzia pisi 5 na reja reja ni 40000 tu. nina patkana kariakoo.kwa atakae hitaji tuwasiliane 0756498845/0717365880
 
pia ina uwezo wa kuchaji hadi simu mbili kwa wakat mmoja na hata tablets unachajia
 
pia tunakupa warranty ya miez 12.ikikusumbua irudishe tunakupa nyingne
 
hii.una ichaji kwanza then unakuwa nayo. na bei ya jumla ni sh 35000 kuanzia pisi 5 na reja reja ni 40000 tu. nina patkana kariakoo.kwa atakae hitaji tuwasiliane 0756498845/0717365880

Je, mzigo bado upo?
 
hii.una ichaji kwanza then unakuwa nayo. na bei ya jumla ni sh 35000 kuanzia pisi 5 na reja reja ni 40000 tu. nina patkana kariakoo.kwa atakae hitaji tuwasiliane 0756498845/0717365880

Taja Ah capacity ya power bank zako
 
Tunakufikishia popote pale ulipo kwa gharama zetu ww ni kupokea mzigo tu. unaweza ni cheki 0756498845 kwa kutoa oda na maelezo zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom