Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,751
- 60,078
Hakuna nchi isiyokuwa na maskini na haitawahi tok
Hakuna nchi isiyokuwa na maskini na haitawahi tokea.
Libya ya gadafi nafikiri ilitokeaHakuna nchi isiyokuwa na maskini na haitawahi tokea.
Walikuwepo badoLibya ya gadafi nafikiri ilitokea
Walishindwa hata kutafutana masikini wawili na kufungandoa wapewe nyumba yabureWalikuwepo bado
Hakuna nchi isiyokuwa na maskini na haitawahi tokea.
Ha ha ha..... Inaonekana maskini wanakula na kushiba sana kuliko matajiriMarekani tabu sana.
Matajiri wembamba, masikini wanene!
Ma vyakula cheap ma burgers yananenepesha sana, matajiri wanakula mavitu organic halafu kwa vipimo.Ha ha ha..... Inaonekana maskini wanakula na kushiba sana kuliko matajiri
Ushelisheli hakuna maskini.Hakuna nchi isiyokuwa na maskini na haitawahi tokea.
Ahahaha hapa nimekupataMarekani tabu sana.
Matajiri wembamba, masikini wanene!
umefika mzee au unasikiaBrunei
Qatar kuna umasikini wa kutisha,ni vile wenzetu hawapendi kuonyesha sehemu mbaya,wao watakuonyesha maghorofa tuSio kweli mkuu, Qatar, UAE, Brunei hakuna maskini
Wewe ni masikini au tajiri?Marekani tabu sana.
Matajiri wembamba, masikini wanene!
Ni kweli mkuu nipo qatar hapa hawa jamaa wana pesa aise? Halafu don care kinoma, hawajali wewe ni mzungu mwafrika mchina ..yani wao wako na mambo zao tu.Sio kweli mkuu, Qatar, UAE, Brunei hakuna maskini
Mkuu hakuna huo umasikini unaosemea wewe ..Qatar sijaona aide omba omba na life liko poa tu ..sema Jua ndo usipime dahQatar kuna umasikini wa kutisha,ni vile wenzetu hawapendi kuonyesha sehemu mbaya,wao watakuonyesha maghorofa tu