Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Mods,
Naomba kupendekeza tuwe na post ya mwezi... ila vigezo vyake sijui vitakuwaje...
kwa kuanzia napendekeza post ya Prodigal Son katika thread ya:
Re: wamachinga wa kichina wapewa siku30 wawe wametimua kwao
Naomba kupendekeza tuwe na post ya mwezi... ila vigezo vyake sijui vitakuwaje...
kwa kuanzia napendekeza post ya Prodigal Son katika thread ya:
Re: wamachinga wa kichina wapewa siku30 wawe wametimua kwao
Hili ni changa la macho
Hawa watu hawataondoka nchi ambayo inaendeshwa kama haina wenyewe ambapo wenye pesa uwe raia au sio rai unaweza kufanya kitu chochote ili khali sheria zipo.
Wakati naibu waziri anasema waondoke boss wake waziri wa Viwanda yupo INDIA kutafuta wamachinga,,,,
Sitashangaa kusikia hawa WACHINA wana vibali halali,,,,,na baraka zote za OLE NAIKO na TIC,,,naibu waziri ungeanzia TIC, BRELA, na manispaa utuambia ni wachina wangapi wapo,,,na vibali walivyopewa ni vya namna gani, na wamepewa na nani,, sheria inasemaje
Sitashangaa kusikia WACHINA wa KARIAKOO wameifungulia serekali mashtaka,,na kuamriwa kulipa mabilioni,,,,,,,,,,,,,,hii bongo kila kitu kinawezekana
Hapo kwenye bold pameniacha hoi!
Hawa watu hawataondoka nchi ambayo inaendeshwa kama haina wenyewe ambapo wenye pesa uwe raia au sio rai unaweza kufanya kitu chochote ili khali sheria zipo.
Wakati naibu waziri anasema waondoke boss wake waziri wa Viwanda yupo INDIA kutafuta wamachinga,,,,
Sitashangaa kusikia hawa WACHINA wana vibali halali,,,,,na baraka zote za OLE NAIKO na TIC,,,naibu waziri ungeanzia TIC, BRELA, na manispaa utuambia ni wachina wangapi wapo,,,na vibali walivyopewa ni vya namna gani, na wamepewa na nani,, sheria inasemaje
Sitashangaa kusikia WACHINA wa KARIAKOO wameifungulia serekali mashtaka,,na kuamriwa kulipa mabilioni,,,,,,,,,,,,,,hii bongo kila kitu kinawezekana
Hapo kwenye bold pameniacha hoi!