simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,694
- 9,580
Wingi wa rasilimali na uchache wa watu, viongozi makini kutachangia Zanzibar kupaa kiuchumi hadi kufikia kiwango cha Sychelles na hata Brunei.
hats wasudani Kusini walikuwa name ndoto kama zako, Leo him wanachinjana wao kwa wao. Hats Zanzibar itaelekea huko, yaani kwenye vita vya waunguja na wapemba.
Kwani znb wakichinjana kuna ubaya ganihats wasudani Kusini walikuwa name ndoto kama zako, Leo him wanachinjana wao kwa wao. Hats Zanzibar itaelekea huko, yaani kwenye vita vya waunguja na wapemba.
uchache wa watu? wazanzibari waliopo zanzibar sio wote, asilimia kubwa ya wazanzibari wapo bara, muungano ukivunjika itabidi warudi zanzibar. Kwa sasa hivi tu tukisema wote warudi hawatatosha kwa rasilimali zilizopo.
Unatutisha,Zanzibar huru a musthats wasudani Kusini walikuwa name ndoto kama zako, Leo him wanachinjana wao kwa wao. Hats Zanzibar itaelekea huko, yaani kwenye vita vya waunguja na wapemba.
Hapa unaota au unawaza tu?
hats wasudani Kusini walikuwa name ndoto kama zako, Leo him wanachinjana wao kwa wao. Hats Zanzibar itaelekea huko, yaani kwenye vita vya waunguja na wapemba.
Hapa unaota au unawaza tu?
uchache wa watu? wazanzibari waliopo zanzibar sio wote, asilimia kubwa ya wazanzibari wapo bara, muungano ukivunjika itabidi warudi zanzibar. Kwa sasa hivi tu tukisema wote warudi hawatatosha kwa rasilimali zilizopo.
Wakiondoka Waznz mutazidi kubaguana kwa makabila hapa Tanganyika na wafugaji na wakulima.
teeeh teeeh mawazo potofu...
Naam nchi hujengwa na ndoto na mawazo!
Ok! Basi na tulale sana ili ndoto ziwe nyingi na kubwa huku hukibugia unga ili tuwaze sanaaaa! Mwisho wa siku tunajenga nchi!
Na rasilimali zao wachukue? Mnashindwa kuwalipa wanaovunjiwa vibanda sijiu kama mtaweza kulipa rasilimali zao huko Tanganyika!
unawaona waznz ni vipofu kama nyinyi unawapangia kurudi znz, waulizie UAE wako wangapi? Uk wako wangap? Canada wako wangapi? Na nchi zote duniani
Wakiondoka Waznz mutazidi kubaguana kwa makabila hapa Tanganyika na wafugaji na wakulima.
Wingi wa rasilimali na uchache wa watu, viongozi makini kutachangia Zanzibar kupaa kiuchumi hadi kufikia kiwango cha Sychelles na hata Brunei.
I saw a future in Eritria and it works!