Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

Noi Bai

Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
77
Reaction score
140
Salamu wakuu!

Kuna jamaa yangu amenitext, ofisini kwao wanatafuta mtaalam wa kucheza na data (data analyst) wametangaza sana hiyo nafasi lakini bado hawajafanikiwa kupata

Kwahiyo kama unamfahamu mtu ambaye yuko vizuri kwenye excel ni PM nitakutumia contacts zao ukafanye nao interview.

Please note: kama unajua tu VLOOK UP na Pivot table/chart, au kudevelop basic formula za plus/minus, don't waste your precious time to even thinking of applying, na pia don't lie, kama unajua tu basic things sema but kwenye interview ukishajitambulisha tu jina lako unapewa laptop na data hapo hapo, on my experience wengi huchemka hapo, anapewa data then anatumia dk 20 kuzishangaa.......anatakiwa ambaye akipewa data anazisoma kwa dk 2 then ana produce report

Kwa kusisitiza, awe anajua kutengeneza templates, dashboards kwa kutumia slices (complex dashboards) in excel, power pivot na features kama hizo

Najua baadhi ambao wako vizuri, lakini ni wahindi na wakenya and natamani kazi kama hizi zianze kufanywa na watanzania ndo maana nkaipost hapa jukwaani

Lakini pia nivizuri kama haufahamu vizuri excel ukaanza kujifunza.....tulitoka analog tukaingia digital, sasa hivi tuna move kwenda kwenye data, and Data analysts ndo watakaokua wanatengeneza hela in five years to come.......!!!

All the best
 
Kumbe mnahitaji mtaalam wa Excel, sa simseme tu kuliko kututisha na ma tittle "Data Intelligence Manager"
Tatizo hakuna cheo cha mtaalam wa excel
ila sio mbaya jaribu bahati yako boss
 
Tangazo limejaa mikwara miiingi! Ndo maana hampati mtu labda msomeshe wenu maana kumpata mtu anayejua vyoooote kwa 100% haipo. Vingine wanaelekezwa ofisini
Mikwara ili kupunguza idadi ya applicant, pia ndo requirements zao, so nimeona niwe clear kabisa ili mtu asipoteze muda wake
 
Ngoja nikasome hiyo course
Kaisome mama, isome with passion!!! Baada ya miaka kadhaa nyie ndo mtakua deal mjini kuliko hata mainjinia, maana mainjinia na makampuni yote yatafanya kazi kwa kutumia data, na idadi yenu itakuwa ndogo, huu ndo muda wa kufanya hivyo!! Mi nilibhatika huku kwa watu nikajifunza japo sijui yote, ila hayo niliyoandika nayaweza kwa asilimia kama 88 hivi, tuendelee kujifunza!!! Data ndo kila kitu in decision making hasa kwa makampuni makubwa!!!
 
Tuwasiliane kaka nadhani nafasi inanifaa
 
Wale wa kompyuta sayansi fursa hiyo changamkieni,acheni kulia lia mara hakuna ajira......ni practical tu hawataki cheti
 
mpigie huyu jamaa 0716484816 Anaitwa Aly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…