McCarthy
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 506
- 554
Wanajamvi
Mimi nipo hapa kuna mwanamke ninampango wa kumuoa. Sasa ninataka kutoa posa na bahati mbaya sijawahi kuposa wala kuona mtu akipeleka barua ya posa.
Naomba kuuliza je,
1.Ni nani hasa anatakiwa apaleke nlvarua ya posa? Muoaji au ndugu zake?
2. Je, kwenye barua ya posa unasema nini kwa ufupi?
3. Je, barua ya posa lazima iandamane na pesa. Kama hivyo ni angalau Sh. ngapi?
Nawasilisha wadau.
Mimi nipo hapa kuna mwanamke ninampango wa kumuoa. Sasa ninataka kutoa posa na bahati mbaya sijawahi kuposa wala kuona mtu akipeleka barua ya posa.
Naomba kuuliza je,
1.Ni nani hasa anatakiwa apaleke nlvarua ya posa? Muoaji au ndugu zake?
2. Je, kwenye barua ya posa unasema nini kwa ufupi?
3. Je, barua ya posa lazima iandamane na pesa. Kama hivyo ni angalau Sh. ngapi?
Nawasilisha wadau.