pole porokwa! hatimae umejiingiza mtegoni kama ambavyo tulitegemea itakuwa hivyo siku tuliposikia umetangaza nia ya kumpinga lowasa. ambalo hatuna uhakika nalo ni kwa dau la shilingi ngapi umenunulika, au ahadi tuu zimekulaghai kama ambavyo tunamjua edward nae alivyo mzee wa ahadi nyingi kama mzee wa bagamoyo alivyo. kiufupi umejidhalilisha.
lowasa siyo mmasai ni mmeru na hicho cheo unachompa alishavuliwa baada ya ukweli kubainika kwamba siyo mmasai. lowasa baba yake ni mmeru na mama yake ndio mmasai kwa mila za kimasai huwezi kufuata ukoo wa mama hata siku mmoja. wazee wa kimasai walipobaini kuwa jamaa aliwadanganya na kujipachika umasai hadi akapenya kuwa mbunge wao wakamvua u Laigwanani. mmeru hawezi kuwa laigwanani wa wamasai