Porojo za Clouds FM

Porojo za Clouds FM

Status
Not open for further replies.

Waambi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
737
Reaction score
81
Gerald Hando amezidi kujishaua ka yeye ndo mmiliki wa hiyo redio. Eti asubuhi anasema ooh Kanisa Katoliki linapitia ktk misukosuko. Waumini imani zao zitakuwa mashakani. Yeye ni nani hadi aongee kwa authority hivyo!.. Mapozi na kujisahau kwake kunaiharibu Clouds FM. Ona kushabikia mabwabwa kulivyoitia hasara! Aache kugusia mambo asiyo na madaraka nayo..
 
Kuna uwezekano mkubwa watumish weng wa hiyo redio ni mabwabwa ndiyo maana na wao walikuw wanashabikia hiyo kitu!!
 
Kwenye Mwananchi la leo kuna jibu lako, kuna katuni zuri ya kipanya.
 
hii clouds fm/tv inasemekana kuwa uhusioano wa jinsia moja ni moja ya vigezo vya kufaulu kuajiriwa na Ruge Mutahaba.
fuatilia kuanzia b12 hadi musa aliyetoka chanel 5 wanahusiahanishwa na matendo mabovu kinyume cha..
Pia wapo markerting officers kibao wa kampuni hiyo wanajulikana kabisa ni watendaji wa mahusiaono ya na namna isivyokubalika kwa sheria ya nchi na kwa sheria ya mungu pia
NB: Meneja Clouds radio ni Ruge Mutahaba ambaye ni shost wa JK na radio hii ilishawai kuaaandaa sherehe za kumpongeza JK kaitika moja ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa .
 
Ala kuumbe. Hando kanipotezea hamu ya kusikiliza clouds bora nihamie magic fm
 
Tatizo ni sisi wenyewe, tunapenda irrelevant issues to the point ya kuwafanya akina Hando kuongea upuuzi in the hope ya kupata mashabiki. By the way, clouds appears to be operating without any guidelines, leaving the presenters to to say anything, however filthy it is. Wamenasa
 
hii clouds fm/tv inasemekana kuwa uhusioano wa jinsia moja ni moja ya vigezo vya kufaulu kuajiriwa na Ruge Mutahaba.
fuatilia kuanzia b12 hadi musa aliyetoka chanel 5 wanahusiahanishwa na matendo mabovu kinyume cha..
Pia wapo markerting officers kibao wa kampuni hiyo wanajulikana kabisa ni watendaji wa mahusiaono ya na namna isivyokubalika kwa sheria ya nchi na kwa sheria ya mungu pia
NB: Meneja Clouds radio ni Ruge Mutahaba ambaye ni shost wa JK na radio hii ilishawai kuaaandaa sherehe za kumpongeza JK kaitika moja ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa .


Mkuu hii ni kashfa kubwa sana unayoiongelea je unavithibitisho leo ukiitwa mahakamani? Lakini kama ni kweli hawa jamaa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja basi serikali ifikirie namna ya kuifutilia mbali hiyo kampuni yao kabla haijaharibu zaidi jamii yetu.
 
Da me chichemi coz tulishasimulia mkashindwa amini leo mme yaona enheee haya sasa kazi kwenu!musa adamu b12 hahaha na geradi kaongezeka sasa sijui utasema nini ukisikia ya kibonde na mirad hayo....maana jamani we acha tuu kama kweli lakini
 
Gerald Hando amezidi kujishaua ka yeye ndo mmiliki wa hiyo redio. Eti asubuhi anasema ooh Kanisa Katoliki linapitia ktk misukosuko. Waumini imani zao zitakuwa mashakani. Yeye ni nani hadi aongee kwa authority hivyo!.. Mapozi na kujisahau kwake kunaiharibu Clouds FM. Ona kushabikia mabwabwa kulivyoitia hasara! Aache kugusia mambo asiyo na madaraka nayo..

Siku zote mimi hudhani huyu jamaa si riziki (Shoga)
 
Wanakera ile mbaya heri hata bi Babra Hassan
 
Wote ni mapunga tu idadi kubwa binafsi siwakubali wote ila wangesema kura kwa wawili Hando na Kibonde
 
Kumbe bora leo ndgu zngu mmelitambua hlo coz ni station ya radio ambayo haifuati uweledi wa tasnia ya utangazaji na ktka utendaji wake wa kazi coz wfnyakazi wake wengi ulipoka na sio kutangaza.
 
hiki chombo nacho kimechomoka kupitia tundu la sindano,kingefungwa ili watangazaji wake waliosoma elimu za kuunga watie adabu.mnafurahia ushoga au nanyi mnapakuliwa nini
:shut-mouth:
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom